Kumbe unayo tayar... config tumia iPhone 12 pro hdrx..ni balaaAisee Nmetafuta configs za A71 mbalii Mpaka kwnye magroup ya telegram Ni [emoji91]View attachment 1904136
Ok poah ngoja tuchekHii hapa. View attachment 1914897
Naomba config ya Iphone 12 pro HDRXWenye a71..tumieni nikita 7.4 config funga iPhone 12 pro HDRX
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Fresh, thanks in advance mkuu
Naomba config ya Iphone 12 pro HDRX
Duh!
Mkuu naomba ya redmi 9t
Fresh, thanks in advance mkuu
Tayari nimeinstall mkuu. Naomba hayo maujanja mengine
Toa iliyouepo kisha Pakua yenye eng apk...ukimalza install...then nitakwambia jinsi ya kuload configs files
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Kesho mkuu mana kuna step.kidgoTayari nimeinstall mkuu. Naomba hayo maujanja mengine View attachment 1915661
Pamoja sana.
Hello mkuu, nakumbushia kama ukiwa free
[emoji120][emoji120]Shukran zangu kwako chief, baada ya kupata mrejesho wako, siku kata tamaa nilipambana hatar, mpaka yanafika majira ya saa nne usiku nikafanikiwa, Lakin kila ninapopiga picha inatoka kivuli tu, nikachana nayo, Leo mchuano ukaendekea na alhamdulillah nimefanikiwa na picha napiga vizur tu.
Lakin ninayo shida moja, kwamba nikiweka option ya portrait au night sight inakataa, msaada tafadhali [emoji120][emoji120][emoji120]Shukran zangu kwako chief, baada ya kupata mrejesho wako, siku kata tamaa nilipambana hatar, mpaka yanafika majira ya saa nne usiku nikafanikiwa, Lakin kila ninapopiga picha inatoka kivuli tu, nikachana nayo, Leo mchuano ukaendekea na alhamdulillah nimefanikiwa na picha napiga vizur tu.
Sawa mkuu ngoja ni kutag maelezo yake nilimuelekeza mtu juu hapoHello mkuu, nakumbushia kama ukiwa free
@dendizzo mkuu anza kufata mtiririko kuanzia hapa...ukifanikiwa hadi hatua ya kutaka ku copy na ku paste configs kweny folder la gcam.. nambie ili nikutumie baadh ya config ujarbuSasa fungua gcam yako kisha kwa juu pale utaona kimshare kimeangalia chini,kiguse utaona zinakuja options kibao..chagua settings kisha fungua...ukifungua settings weka screenshot hapa nione options zinazokuja kwako
Mkuu unajua kama nilivyokwambia..hakuna specific gcam ya simu yako...kwaiyo kupata gcam ni kubet..sasa kitu cha kubet ni ngumu kukupa msaada..zaid ya kuendelea kubet..Lakin ninayo shida moja, kwamba nikiweka option ya portrait au night sight inakataa, msaada tafadhali [emoji120]
Noted mkuu@dendizzo mkuu anza kufata mtiririko kuanzia hapa...ukifanikiwa hadi hatua ya kutaka ku copy na ku paste configs kweny folder la gcam.. nambie ili nikutumie baadh ya config ujarbu
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app