Tayari mkuu. Naomba hizo config nijaribu@dendizzo mkuu anza kufata mtiririko kuanzia hapa...ukifanikiwa hadi hatua ya kutaka ku copy na ku paste configs kweny folder la gcam.. nambie ili nikutumie baadh ya config ujarbu
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ahsante ndg ubarikiwe Sana, umenifungua mengi mno [emoji120]Mkuu unajua kama nilivyokwambia..hakuna specific gcam ya simu yako...kwaiyo kupata gcam ni kubet..sasa kitu cha kubet ni ngumu kukupa msaada..zaid ya kuendelea kubet..
Chakufanya endelea kusaka gcam tofaut tofaut huend ukaotea moja yenye full functionality...
Kila lakher mkuu
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Normal camera yako haina?Hivi pixel 2xl nikitaka iwe na hdr+ nafanyaje
Una telegram? Hapa config hazikai jfTayari mkuu. Naomba hizo config nijaribuView attachment 1918582
Ipo ila naiona kama haipo vizur zaid
NimekuPM
Anhaa ngoja kesho nitakujibu vzrIpo ila naiona kama haipo vizur zaidView attachment 1918619
Simu gani unatumia?Mimi nimeitoa tu maana camera ya simu yangu inatoa picha nzuri kuliko gcam
Pole Sana mkuu..umetumia gcam gan na configs umetumia ipi?Mimi nimeitoa tu maana camera ya simu yangu inatoa picha nzuri kuliko gcam
Nilitumia app ya Gcamator kupata gcam kwa ajili ya simu yangu redmi note 10Pole Sana mkuu..umetumia gcam gan na configs umetumia ipi?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Redmi note 10 nimejaribu gcam aina mbalimbaliSimu gani unatumia?
Moja Note 10 huitaj gcamator...,2 ulitumia bila configuration yyte...Nilitumia app ya Gcamator kupata gcam kwa ajili ya simu yangu redmi note 10
Atumie hiyo kisha alete mrejesho hapa wapicha za stock na gcamMoja Note 10 huitaj gcamator...,2 ulitumia bila configuration yyte...
Tumia nikita 7.4 kisha load config ya iPhone 12 pro max,au pixel5 styles
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Eeh ndo nataka aweke hyo kwanza [emoji1]Atumie hiyo kisha alete mrejesho hapa wapicha za stock na gcam
Nimeshadonload nikita kutoka kwenye link hapahapa jukwaani kwenye redmi note 10, what next mkuuMoja Note 10 huitaj gcamator...,2 ulitumia bila configuration yyte...
Tumia nikita 7.4 kisha load config ya iPhone 12 pro max,au pixel5 styles
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nipm nikupe link ya Telegram u download configurationNimeshadonload nikita kutoka kwenye link hapahapa jukwaani kwenye redmi note 10, what next mkuu
Kuna watu hawafahamu kuwa kuna settings na configuration,wanajua wakiweka Tu gcam bas wanategemea picha inatoka kama imepigwa na DSLR..
Ndio hapo sasa....mwamba badala arudi jukwaani akaona isiwe kesi [emoji28][emoji28]Kuna watu hawafahamu kuwa kuna settings na configuration,wanajua wakiweka Tu gcam bas wanategemea picha inatoka kama imepigwa na DSLR..