mkuu naweza kupata ya samsung s10 SM-G973F/DS nmetafuta sana sijapataNdio hapo sasa....mwamba badala arudi jukwaani akaona isiwe kesi [emoji28][emoji28]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Anza kujarbu hii ..utapakua EnG apkmkuu naweza kupata ya samsung s10 SM-G973F/DS nmetafuta sana sijapata
iyo ya pili imefanya kazi ila naona hain tofauti na stock kun confg zake ?Anza kujarbu hii ..utapakua EnG apk
Kisha Pakua na hii nayo ENG apk
Kisha jarbu moja moja kati ya hzo mbil uone ipi inafanya kazi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
nazipataje mkuu ?Zipo
OK!Hii ni kwa android tu mkuu
Ya s10+ kakaAnza kujarbu hii ..utapakua EnG apk
Kisha Pakua na hii nayo ENG apk
Kisha jarbu moja moja kati ya hzo mbil uone ipi inafanya kazi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Sawa
Pakua iloandikwa ruler...ukimalza install... ifungue..ukiona inapga kaz fresh sema tukupe settings zake
Imekubali
Pakua iloandikwa ruler...ukimalza install... ifungue..ukiona inapga kaz fresh sema tukupe settings zake
msaada wako mkuu kimeo changu ni redmi 8a nimedownload gcam moja imepiga kazi fresh, ila tatizo ni kwamba ni selfie tu ndo imekubali ila ya nyuma imegoma msaada wako mkuu.Nipm nikupe link ya Telegram upakue settings
Naomba link ya S7Nipm nikupe link ya Telegram upakue settings
Kumbe Kuna kudownload Camera na Config mkuu??? Au ndo maana mi najaribu 7.4 Samsung A12 inagoma maana hizo Config sijadownloadMoja Note 10 huitaj gcamator...,2 ulitumia bila configuration yyte...
Tumia nikita 7.4 kisha load config ya iPhone 12 pro max,au pixel5 styles
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Oppo A92, ina support??Nipm nikupe link ya Telegram upakue settings