Sjawah kutana na issue hyo....weka picha zaid utuonyesheWatalaamu nikipiga picha uelekeo wa jua picha inakua kma ina ukungu2 kwa mbaali...au na kwenu ni ivho2View attachment 1923066
Kama inagoma issue sio config,, config ni settings tu.. inamana gcam kama haifany kaz basi na config haiez fanya loloteKumbe Kuna kudownload Camera na Config mkuu??? Au ndo maana mi najaribu 7.4 Samsung A12 inagoma maana hizo Config sijadownload
Pakua Nikita: NGCam_7.4.104-v2.0 pakua iloandikwa ENG spkOppo A92, ina support??
Eehe shukrani mkuuKama inagoma issue sio config,, config ni settings tu.. inamana gcam kama haifany kaz basi na config haiez fanya lolote
Yan hua siilewi2 labda sabbu ni Chinese versionSjawah kutana na issue hyo....weka picha zaid utuonyeshe
Aisee...ni simu gan na gcam gan hiiYan hua siilewi2 labda sabbu ni Chinese version
Asubuh inaleta ukungu2,,,nikipiga uelekeo wa ziwa inaleta weusi2,mchana jua likiwa kali inaleta ukungu2 tena.....picha inatengamaa kukiwa hakuna jua kabisa
Alaf mkuu msaada iyo conf ya pixel
Pm nikupe link ya TelegramYan hua siilewi2 labda sabbu ni Chinese version
Asubuh inaleta ukungu2,,,nikipiga uelekeo wa ziwa inaleta weusi2,mchana jua likiwa kali inaleta ukungu2 tena.....picha inatengamaa kukiwa hakuna jua kabisa
Alaf mkuu msaada iyo conf ya pixel
mkuu hii sijui hata aina gani ila nlidownload hapaGcam gan hyo unayotumia
ila nahisi mkuu itakua 3 point something.Gcam gan hyo unayotumia
Saiz gcam ipo 8.3ila nahisi mkuu itakua 3 point something.
Redmi note 9 pro
Si utumie nikita 7.4 v 2.0Redmi note 9 pro
Chinese
Sio hii mkuu?
Kafungue setting ya gcam kisha shuka chini utaona info click hapo ndo tutajua unayo ipiSio hii mkuu?View attachment 1927368
YeerKafungue setting ya gcam kisha shuka chini utaona info click hapo ndo tutajua unayo ipi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nna zile za kawaida