Ukaaji wa charge ni ile ule ule tu mkuu,issue ya kukaa na charge ni swala la battery na software optimization yenyewe, hizo watt hazina impact katika ukaaji wa charge, zenyew ni kujaza haraka tu simu yakoMkuu sorry nna swali
Ivhi inawezekana kutumia charger yenye watt18 kwenye simu inayoitaji watt25 na simu ikakaa na chrge kama kawaida au chage itakua inakata faster??
sawa mkuuA20 mkuu hakuna gcam ya maana,labda zakubet
Shukrani bossUkaaji wa charge ni ile ule ule tu mkuu,issue ya kukaa na charge ni swala la battery na software optimization yenyewe, hizo watt hazina impact katika ukaaji wa charge, zenyew ni kujaza haraka tu simu yako
Xiaomi 10AA20 mkuu hakuna gcam ya maana,labda zakubet
Acha kutuchekesha mkuu
Make apo kwanza ncheke [emoji1787][emoji1787]
Hakna kitu hapa mkuuBado Infix Hot 11 inaendelea kuadabisha. Lazima mshike adabu.
View attachment 2322640
Picha haina Quality hii
Hivi picha za Sunrise ni config tu au maana natumia nikita nacofing nzuri tu ila kwenye sunrise zinafeli.Ngoja tuone
Ukishakosa gcam lazima ujifariji tu [emoji23]Bado Infix Hot 11 inaendelea kuadabisha. Lazima mshike adabu.
View attachment 2322640