Nasubiri Boss wangu.Ngoja niitizame mkuu
Unatumia Kweny simu gan?
Hii au Kilangi masanjaA seriz nazo changamoto
Jaribu hii. https://f.celsoazevedo.com/file/gcamera/MGC_6.1.021_BSG_Arnova_TlnNeun_1.2_test_fix_Exynos.apk
Naona hii imegoma
Mkuu tizama hiyo ya juu kabla ya hioNaona hii imegoma
Nimedownload nikiwa sin attension kubwa ili nadhani ni ya kwanza kati ya hizo link mbili alizotuma mkuu kcamp Jana before Tu ya hio post yangu ya kumjuza .naimani umenipata
Niko india mara 1. Jana nimeenda shop kuchukua Redmi note 7pro. Niliipania tangu natoka Tz. Kufika shop nikakuta masimu kibao; honor, Azus, Oppo, Vivo, Motorola afu zote zina camera balaa. Nika ahirisha coz nilichanginyikiwa nichukue ipi.Hongera mkuu...Karbu ulimwengu wa gcam
Boss plz nicheki wasap Kwa heshima ya uzi wangu utatue kiu flani muhimu 0717135641Niko india mara 1. Jana nimeenda shop kuchukua Redmi note 7pro. Niliipania tangu natoka Tz. Kufika shop nikakuta masimu kibao; honor, Azus, Oppo, Vivo, Motorola afu zote zina camera balaa. Nika ahirisha coz nilichanginyikiwa nichukue ipi.
Mkuu unanishauri brand gani nzuri hasa nikiweka Gcam?
Chukua RN7 hiyo mkuu,au kama ni asus basiNiko india mara 1. Jana nimeenda shop kuchukua Redmi note 7pro. Niliipania tangu natoka Tz. Kufika shop nikakuta masimu kibao; honor, Azus, Oppo, Vivo, Motorola afu zote zina camera balaa. Nika ahirisha coz nilichanginyikiwa nichukue ipi.
Mkuu unanishauri brand gani nzuri hasa nikiweka Gcam?
Mkuu zingatia andiko langu nicheki plzNiko india mara 1. Jana nimeenda shop kuchukua Redmi note 7pro. Niliipania tangu natoka Tz. Kufika shop nikakuta masimu kibao; honor, Azus, Oppo, Vivo, Motorola afu zote zina camera balaa. Nika ahirisha coz nilichanginyikiwa nichukue ipi.
Mkuu unanishauri brand gani nzuri hasa nikiweka Gcam?