Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Tutegemee sana hilo! Sababu tu nimeona demo jinsi itakavyokuwa na 3D face unlock na zile motion gestures zinavyofanya kazi, utaona ni jinsi gani jamaa wameamua na wapo serious kwenye ubunifu pia itakuwa more secured ukilinganisha na matoleo ya nyuma.Google walivyo na bei zao za juu...si ajabu ikauzwa Milion 3
Haha umeamua leo kutugongea PHOTONaanza kuwakubali.
Hivi kwanini Xiaomi wasitengeneze na kutuwekea application Kali kama hizi?
View attachment 1169473
View attachment 1169475
Naanza kuwakubali.
Hivi kwanini Xiaomi wasitengeneze na kutuwekea application Kali kama hizi?
View attachment 1169473
View attachment 1169475
🤣🤣🤣Kweli umenogewa mkuu
Kuna Trick moja ya kupiga multiple picha at once nafail kila napojaribu unaiweza mkuu?
Panorama?Kuna Trick moja ya kupiga multiple picha at once nafail kila napojaribu unaiweza mkuu?
Hapana unakuwa unagusa tu pale kwenye shooter kisha zinajipiga nyingi nyingi.Panorama?
Daah hiyo sijaijua badoHapana unakuwa unagusa tu pale kwenye shooter kisha zinajipiga nyingi nyingi.
Mkuu kunaweza kua na tofauti kubwa ya ubora wa picha kati ya hii google camera na stock camera ya s10+ yangu?Working Gcam for Samsung s10 exynos + WORKING NIGHT SIGHT + Playground AR Emoji.
Just download all 3 links from this website DAY,NIGHT AND SUPER NIGHT DOWNLOAD LINK: -gcam-port-for-samsung-s10-exynos WATCH THE VIDEO: GCAM 6.1 WORKING…www.google.com
Jarbu hiyo..sema shida ya hyo wmeweka version 3 tofauti..
Fafanua plz hiyo nini sijuiMbona mkuu ndio hizi hata sisi tunapiga znakua Kali tu....labda tips nyingine wenzetu wanatumia sana snapseed na lighroom kunogesha picha zaidi..mi pia nmeanza kutumia Lightroom kwenye picha za gcam..zikitoka hapo shidaa zaidiii
Mkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.Obvious mkuu
Piga common objects afu upload humu kama hutojali tukupe tofauti wenda huna jicho la Camera.Mkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.
Ukija kwenye night mode hakuna tofauti maana update ya july kwa s10÷ iliboresha night mode cam, so hakuna tofauti ingawa mimi sio professional cameraman ila naweza kutofautisha.
Tunaomba sample ya hzo picha tujiridhisheMkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.
Ukija kwenye night mode hakuna tofauti maana update ya july kwa s10÷ iliboresha night mode cam, so hakuna tofauti ingawa mimi sio professional cameraman ila naweza kutofautisha.
Piga common objects afu upload humu kama hutojali tukupe tofauti wenda huna jicho la Camera.
Mmmh unajua GCAM inajulikana japo ni simu yako ila Gcam wenda ni hii ya chini stock camera haiwezi kuwa hivi imeng'aa angalia vizuri kisha rekebisha maelezo.
Mfano hapa umeona Gcam imeng'aa sina hakika hakika kwa s10+ ising'ae itokee imefifia.Naanza kuwakubali.
Hivi kwanini Xiaomi wasitengeneze na kutuwekea application Kali kama hizi?
View attachment 1169473
View attachment 1169475