Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Tatizo hiyo gcam ya s10 ya chip yako ni changamoto..kama hivyo wmeziweka 3 tofaut...na haiko stable bado..

Night sights ya gcam, stock camera haifati,hata potrait yake nyoko sana

Jarbu kusaka stable version yenye feature zote kwenye moja..utafurahi
 
Tatizo hiyo gcam ya s10 ya chip yako ni changamoto..kama hivyo wmeziweka 3 tofaut...na haiko stable bado..

Night sights ya gcam, stock camera haifati,hata potrait yake nyoko sana

Jarbu kusaka stable version yenye feature zote kwenye moja..utafurahi
Naipata wapi mkuu
 
Tatizo hiyo gcam ya s10 ya chip yako ni changamoto..kama hivyo wmeziweka 3 tofaut...na haiko stable bado..

Night sights ya gcam, stock camera haifati,hata potrait yake nyoko sana

Jarbu kusaka stable version yenye feature zote kwenye moja..utafurahi
Alafu kuna config file ya night sights pale kweny link..ulitakiwa uiweke nayo,umefanya hivyo?
 
Nachoona ni kwamba portait ya GCAM picha inakuwa inakuwa kama umeizoom kiaina ndo hicho kinawachanganya wadau.
Hayo ni maoni yangu tu
Yep kwenye bokeh effect ipo njema sana tena sana, ila kosa ni wadau wanatuaminisha kwamba,.. hakuna kama GCam, ni kosa! Kwani unadhani hana wapinzani walioona mapungufu ya App zao za camera na wameboresha?!
BTW
Plants: my favourite kind of shooting. Absolutely no-edit pictures, btw. It's not me, it's Teampixel! Google camera!madebygoogle
 
Ukweli kabisa ukifatilia vizuri Kuna source niliipata gsm arena inaonesha simu zenye kamera Bora, simu za Google pixel hata kumi bora hazimo, Huawei P 30 Pro aliongoza, halafu Samsung Galaxy S10 5G akafuata Oneplus 7 Pro, Honor 20 Pro, Mate 20 Pro, P 20 Pro, ........
Jamani! kwanini mnambishia? Kwani GCam pekee ndio camera nzuri? Hii GCam kwenye reviews nyingi wanaisifu kwenye low light photos na hii feature yake ya night sight tu, ila kwenye picha za mchana bado pixel anakalishwa na simu nyingi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…