Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Pixel noma mkuu...zile hazitak kelele..siku uwe nayo mkononi ndio utajua balaa lake...

Sisemi brand zingine hawana camera kali..ila pixel hawakosei camera

p30 pro nuksi
 

Simu zinazoongoza kwenye camera ni pixel
Hamna sim inayoifikia
Na kama apo hawakuiweka walikosea na hao si wa kuaminika, au myb waliweka camera features na sio quality
 
Vipi kwa mwenye simu ya samsung galaxy s8+???Naidownload vipi?
 
Pixel noma mkuu...zile hazitak kelele..siku uwe nayo mkononi ndio utajua balaa lake...

Sisemi brand zingine hawana camera kali..ila pixel hawakosei camera

p30 pro nuksi
Vipi kuhusu NOKIA 9 PUREVIEW, maana naona wanasema ni only for professional photographer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…