Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Kwa nn hii g camera selfie inakuwa ovyo ila kawaida picha hatal sana!
Na ni vizur HDR kuwa automatic au HDR +,na je nn maana ya hayo mambo?
 
Kwa nn hii g camera selfie inakuwa ovyo ila kawaida picha hatal sana!
Na ni vizur HDR kuwa automatic au HDR +,na je nn maana ya hayo mambo?
Selfie ikiwa hovyo means gcam version sio stable.. hivyo kama unapenda sana selfie basi itabd usake version nyingne ujarbu
Hdr inakua vzr sana mchana..picha inakua poa
 
Selfie ikiwa hovyo means gcam version sio stable.. hivyo kama unapenda sana selfie basi itabd usake version nyingne ujarbu
Hdr inakua vzr sana mchana..picha inakua poa
Wadau waweke link ya Samsung note 8 wakuu!
 
Mkuu nipo Dm kwako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…