Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,518
- 10,839
Google siku hizi imekuwa takataka. Wakati wanajaribu kuboresha ulinzi kwenye data za mtumiaji wa huduma zao kumbe ndiyo wanaharibu kabisa.
Simu yangu iliharibika, sasa account yangu ya GMail ndiyo ipo kwenye hiyo simu. Leo nimebadilisha simu lakini cha ajabu siwezi ku-access account yangu kwasababu tu nimetumia kifaa kipya na hakuna njia nyingine ya kuthibitisha kuwa mimi ndiyo mwenye account.
Huu wanaofanya Google ni ujinga, ingekuwa naweka taarifa zisizo sahihi (password) hapo sawa ilipaswa kuzuia mimi ku-access hiyo account lakini sababu ya kuwa kifaa ni kipya ila password ipo sawa na bado sipati access ni mapungufu makubwa sana kwa GMail.
You can’t recover your account at this time because Google doesn’t have enough info to be sure that this account is yours.
Simu yangu iliharibika, sasa account yangu ya GMail ndiyo ipo kwenye hiyo simu. Leo nimebadilisha simu lakini cha ajabu siwezi ku-access account yangu kwasababu tu nimetumia kifaa kipya na hakuna njia nyingine ya kuthibitisha kuwa mimi ndiyo mwenye account.
Huu wanaofanya Google ni ujinga, ingekuwa naweka taarifa zisizo sahihi (password) hapo sawa ilipaswa kuzuia mimi ku-access hiyo account lakini sababu ya kuwa kifaa ni kipya ila password ipo sawa na bado sipati access ni mapungufu makubwa sana kwa GMail.
You can’t recover your account at this time because Google doesn’t have enough info to be sure that this account is yours.