Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
UKwa kutumia google Map unaweza kuona hali hali halisi ya sehemu mbalimbali za dunia na kuzifahamau hata bila kufika. Hii imekuwa pia inasaidia watalii kutembelea sehemu fulani za dunia kujihakikishia wanyaoona huko Google maps.
Ukiangalia ramani ya dunia, utaona kuwa Amerika ya Kusini, Amerika ya kaskazini, Ulaya na sehemu kadhaa za Asia (ukitoa china na korea ya kaskazini) zimejionyesha vizuri sana kwenye google street view. Mashariki ya kati, Asia karibu yote (isipokuwa Korea ya kusini, japani na nchi za Aisa ya kusini mashariki) na Afrika ndiko kuna utata sana; kwa Africa ni Senegal, Ghana, Nigeria, kenya na Afrika ya kusini tu ndizo zinazopatikana kwenye google viewe. Tanzania pamoja na uzuri wake haimu kabisa labda mitaa kadhaa tu ya Zanzibar.
Ona hapa, Amerika ya kaskazini yote ipo ispokuwa tu eneo la kaskazini ya Kanada ambalo halikaliwi na watu wengi
Amerika ya kusini pamoja na visiwa vya kcaribbeana imo ispokuwa Cuba, Venezuela na msitu wa Amazon
Ulaya yote imo
Sasa ona mashariki ya kati na Asia,
Sasa geukia Afrika uone
kwa Tanzania inabidi uende Zanzibar mndipo ukute hii
Niliuliza Google kwa nini kuna sehemu hazipo kwenye gpoogle map, wakaniambia kuwa huenda hawajapata mtu au kampuni ya kuwapigia picha hizo, au mamlaka za nchi husika zinazuia. Kuna malipo si haba wanatoa kwa mtu anayewapigia picha za mtaa mzima lakini anatakiwa awe na vifaa vya google vinavyonganisha picha hizo moja kwa moja kwenye ramani ya google. Picha za sehemu moja kama sehemu fulani ya biashara hizo hazilipiwi. Sidhani kama serikali ya Tanzania inazuia picha hizo hivyo Watanzania wote magari mazito ya kuweza kuzungukia nchi nzima changamkieni tenda hiyo.
Ukiangalia ramani ya dunia, utaona kuwa Amerika ya Kusini, Amerika ya kaskazini, Ulaya na sehemu kadhaa za Asia (ukitoa china na korea ya kaskazini) zimejionyesha vizuri sana kwenye google street view. Mashariki ya kati, Asia karibu yote (isipokuwa Korea ya kusini, japani na nchi za Aisa ya kusini mashariki) na Afrika ndiko kuna utata sana; kwa Africa ni Senegal, Ghana, Nigeria, kenya na Afrika ya kusini tu ndizo zinazopatikana kwenye google viewe. Tanzania pamoja na uzuri wake haimu kabisa labda mitaa kadhaa tu ya Zanzibar.
Ona hapa, Amerika ya kaskazini yote ipo ispokuwa tu eneo la kaskazini ya Kanada ambalo halikaliwi na watu wengi
Amerika ya kusini pamoja na visiwa vya kcaribbeana imo ispokuwa Cuba, Venezuela na msitu wa Amazon
Ulaya yote imo
Sasa ona mashariki ya kati na Asia,
Sasa geukia Afrika uone
kwa Tanzania inabidi uende Zanzibar mndipo ukute hii
Niliuliza Google kwa nini kuna sehemu hazipo kwenye gpoogle map, wakaniambia kuwa huenda hawajapata mtu au kampuni ya kuwapigia picha hizo, au mamlaka za nchi husika zinazuia. Kuna malipo si haba wanatoa kwa mtu anayewapigia picha za mtaa mzima lakini anatakiwa awe na vifaa vya google vinavyonganisha picha hizo moja kwa moja kwenye ramani ya google. Picha za sehemu moja kama sehemu fulani ya biashara hizo hazilipiwi. Sidhani kama serikali ya Tanzania inazuia picha hizo hivyo Watanzania wote magari mazito ya kuweza kuzungukia nchi nzima changamkieni tenda hiyo.