Google na AI Chatbox washtakiwa kwa Kusababisha mtoto kujiua

Google na AI Chatbox washtakiwa kwa Kusababisha mtoto kujiua

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Megan Garcia ameshtaki Google na kampuni ya akili Mnemba inayohusika na "Chatbot" kwa madai ya kuhusika katika kifo cha mwanaye Sewell Setzer (14)

Inadaiwa Sewell alikuwa akiwasiliana kimapenzi na programu ya "Chatbot" akitumia mhusika wa "Game of Thrones" Daenerys Targaryen, ambapo baadae alimshawishi kijana huyo Kujiua

Mnamo Februari 2024, Kijana huyo alijipiga risasi baada ya chatbot huyo kumshawishi mara kwa mara kujitoa uhai

Megan anadai fidia ya kiasi amabcho hakijaekwa hadharani akidai programu hiyo ilimshawishi kijana wake kushiriki mazungumzo ya kingono, ambayo yangekuwa kinyume cha sheria kama yangefanywa na binadamu.

Aidha, Kampuni ya California imedai kuendelea kufanya maboresho kwenye programu zake ili kuzuia watoto chini ya miaka 18 kukutana na maudhui ya kingono au unyanyasaji, na kuwakumbusha watumiaji kuwa programu hiyo si binadamu

Wazazi/walezi ambao mmewapa Watoto wenu Vifaa vya Kielektroniki, huwa mnafuatilia matumizi yao?
 
Nimemsaidia mtoa mada kuwawekea picha ya huyo marehemu pamoja na huyo AI wake(demu) huyo kulia.
Maana najua lazima muombe picha🤒
Screenshot_20241024-195927.jpg
 
Megan Garcia ameshtaki Google na kampuni ya akili Mnemba inayohusika na "Chatbot" kwa madai ya kuhusika katika kifo cha mwanaye Sewell Setzer (14)

Inadaiwa Sewell alikuwa akiwasiliana kimapenzi na programu ya "Chatbot" akitumia mhusika wa "Game of Thrones" Daenerys Targaryen, ambapo baadae alimshawishi kijana huyo Kujiua

Mnamo Februari 2024, Kijana huyo alijipiga risasi baada ya chatbot huyo kumshawishi mara kwa mara kujitoa uhai

Megan anadai fidia ya kiasi amabcho hakijaekwa hadharani akidai programu hiyo ilimshawishi kijana wake kushiriki mazungumzo ya kingono, ambayo yangekuwa kinyume cha sheria kama yangefanywa na binadamu.

Aidha, Kampuni ya California imedai kuendelea kufanya maboresho kwenye programu zake ili kuzuia watoto chini ya miaka 18 kukutana na maudhui ya kingono au unyanyasaji, na kuwakumbusha watumiaji kuwa programu hiyo si binadamu

Wazazi/walezi ambao mmewapa Watoto wenu Vifaa vya Kielektroniki, huwa mnafuatilia matumizi yao?
Wazazi/walezi ambao mmewapa Watoto wenu Vifaa vya Kielektroniki, huwa mnafuatilia matumizi yao?
 
Inashangaza sana kwa wenzetu huko umri 14yrs (huku kwetu yupo std 7) lakini huyo wa huko tayari ameshaanza mambo ya wakubwa na anamiliki na kutumia vifaa vya kielektronic
Wanakula mlo kamili siyo ugali na dagaa.
 
Back
Top Bottom