Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Wakeharib kitu pekee unayoweza injoy now ni kununua xiaomi ambayo ni chinese version hii ndio utainjoy full miui features, natumia note 8 ila nitaipush kwa sababu ya kukosa ladha hizo hizo za xiaomi,mbaya zaidi hawajiwezi katika kubuni UI yao.
theme limekaa kama mtu anayetengeneza alikuwa na kazi nyingine.
yaani unaweza nunua simu ya 1.9 mil kutoka google,au nokia au lg zinazotumia android one.lakini the way inakaa mpaka simu inachosha.View attachment 1596520