Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Wakeharib kitu pekee unayoweza injoy now ni kununua xiaomi ambayo ni chinese version hii ndio utainjoy full miui features, natumia note 8 ila nitaipush kwa sababu ya kukosa ladha hizo hizo za xiaomi,mbaya zaidi hawajiwezi katika kubuni UI yao.
theme limekaa kama mtu anayetengeneza alikuwa na kazi nyingine.
yaani unaweza nunua simu ya 1.9 mil kutoka google,au nokia au lg zinazotumia android one.lakini the way inakaa mpaka simu inachosha.View attachment 1596520
Jaribu Truecaller iko poa sana, ila kama utapakua trial huwezi ifurahia matangazo ni mengi hadi kero ukiweza upgrade kwenye premium.Nipe mbinu mkuu njinsi naweza ku-install dialer & messages app
Kila nikizi-download kwangu zinagoma ku-run, wala hazifunguki!
Napenda kutumia MIUI apps maana zenyewe ukibadili theme na zenyewe zinabadilika muonekano!Jaribu Truecaller iko poa sana, ila kama utapakua trial huwezi ifurahia matangazo ni mengi hadi kero ukiweza upgrade kwenye premium.
Ok ila naona hata hii ya Google nayo nzuri ila waliniboa kutokuweka dark theme, sema mimi nina addiction na truecaller kitambo.Napenda kutumia MIUI apps maana zenyewe ukibadili theme na zenyewe zinabadilika muonekano!
Truecaller haibadiliki kuendana na theme.
Dark theme wanayo ila sio pure black!Ok ila naona hata hii ya Google nayo nzuri ila waliniboa kutokuweka dark theme, sema mimi nina addiction na truecaller kitambo.
Naomba screen shot ya setting inayoonyesha dark theme.Dark theme wanayo ila sio pure black!
Nashindwa kuambatanisha screenshot!Naomba screen shot ya setting inayoonyesha dark theme.
Asante ngoja nijaribu.Nashindwa kuambatanisha screenshot!
Nenda kwenye vile vidoti vitatu upande wa juu kulia!
Settings->display options->choose theme
Halafu kama unaweza kunisaidia, kwenye simu yangu TECNO F1 products zote za Google ni za "go" version ambazo ni low standard kwangu. Kila nikijaribu kuinstall YOUTUBE kubwa na GOOGLE SEARCH kubwa hazikubali kabisa kupakulika kwa playstore na nikipakulia appstore nyingine haziinstall hata kwa dawa, yani nakereka sasa siuji wanalazimishia nini mivitu yenyewe ina uwezo mdogo afu wanalazimisha, utakuta nikiwa playstore nadownload inakataa kabisa na sio kwamba memory ni ndogo hapana afu unakuta wanaleta ile "but there's another version of YOUTUBE" ambayo ndio YouTube Go khaaaa. I am really fed up!Google wanatulazimsha tutumie vitu vyao kwa lazima, Binafsi sijapenda.
Simu inatakiwa ziwe na utofauti, anayetumia Samsung, aone tofauti akishika Huawei,
Google walichokifanya sasa hivi kila kampuni ya simu lazima iweke Google dialer na Messages App yao!
Tumekosa ladha ya upekee wa simu.
Kabla ya hapo kampuni mfano Xiaomi walikuwa na Messages& Dialer nzuri na ibadilika kutokana na theme
Sasa hivi huwezi kuzifanyia customize yaani vilevile lilivyotoka dukani, Linachosha.
Hiyo simu kulingana na nguvu yake iko optimized na Android Go edition!Halafu kama unaweza kunisaidia, kwenye simu yangu TECNO F1 products zote za Google ni za "go" version ambazo ni low standard kwangu. Kila nikijaribu kuinstall YOUTUBE kubwa na GOOGLE SEARCH kubwa hazikubali kabisa kupakulika kwa playstore na nikipakulia appstore nyingine haziinstall hata kwa dawa, yani nakereka sasa siuji wanalazimishia nini mivitu yenyewe ina uwezo mdogo afu wanalazimisha, utakuta nikiwa playstore nadownload inakataa kabisa na sio kwamba memory ni ndogo hapana afu unakuta wanaleta ile "but there's another version of YOUTUBE" ambayo ndio YouTube Go khaaaa. I am really fed up!
Hapana sio kweli kwasababu kuna infinix hapa nayo inaleta usenge kama huuHiyo simu kulingana na nguvu yake iko optimized na Android Go edition!
Ukiiwekea app kubwa kubwa itakusumbua haita-run at normal state, utaona imeanza kuwa nzito na ku-stuck kwa wingi.
Hapana sio kweli kwasababu kuna infinix hapa nayo inaleta usenge kama huu
Siwez kubishana na wewe kwasababu haupo kwenye situation yangu, you speak from theories!ndio ukweli wenyewe huo,hiyo ni zile simu ambazo zinapangiwa mpaka idadi ya apps za kukaa,na kuran kulingana na ram yake.
kama apps zimefikia kiwango tajwa hata kama space bado ipo inakataa kuchukua app playstore.
nilikuwa nayo ikafika kipindi hata sms haitaki kupokea.
Siwez kubishana na wewe kwasababu haupo kwenye situation yangu, you speak from theories!
Natumia TECNO F1unatumi pop1 mwaka huu,mimi nimeitumia 2017 naijua vyema hiyo simu.
nakuelekeza tu,sio swala la kubishana hapa.