Google Pixel 4 XL ni simu nzuri kwa Tanzania?

Google Pixel 4 XL ni simu nzuri kwa Tanzania?

mkuu soko ndio linamlazimisha. siku hizi wenzie wanatoa highend na midrange kwa wakati mmoja ili kuteka soko la watu wote yeye hawezi kushikiria msimamo wake milele.

ndio maana siku hizi anatoa simu tatu tatu,na mwakani kuna tetesi zikawa nne tofauti.
walishaconfirm kwamba mwakani zitakuwa variant 5 siyo nne. Bila shaka humo ndani kutakuwa na mid range.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam.

Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni
1. LG G8 Thinq
2. iPhone X / XS Max / 11
3. Google Pixel 4 XL

Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi supported ukiitumia huku.

Natanguliza shukran!
mkuu nina Google Pixel 3a offline market mpya 32 Gb... Android 11, ram 4 Gb... nichek 0682521021 bei 580k negotiable
Screenshot_20200805-080812.jpg
View attachment 1527580View attachment 1527581View attachment 1527582View attachment 1527583
 
RAM 4 GB, ROM 64 GB, ANDROID 11, BEST CLASSY CAMERA 12 MP, ( PORTRAIT, NIGHTSIGHT, 4K VIDEOS ) VERY CLEAN 97% NEW INAKUJA NA CHARGE TYPE C, COVER NA SIM EJECTOR, SIFANY EXCHANGE, NIPO SINZA , BEI 350K
0682521021View attachment 1557323
PXL_20200828_122741367.jpg
 
Back
Top Bottom