42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
walishaconfirm kwamba mwakani zitakuwa variant 5 siyo nne. Bila shaka humo ndani kutakuwa na mid range.mkuu soko ndio linamlazimisha. siku hizi wenzie wanatoa highend na midrange kwa wakati mmoja ili kuteka soko la watu wote yeye hawezi kushikiria msimamo wake milele.
ndio maana siku hizi anatoa simu tatu tatu,na mwakani kuna tetesi zikawa nne tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app