bongo five wako vizuri
kuna nyingine stori za warumi zote anazikopy na kupesti udaku special hiyoo
yaani asa hv naye yuko likizo
Hiyo itakuwa siri yao sidhani kama watasema,ila nadhani yule wa zoom atakuwa anaingiza hela
Wa zoom ndio nanii??
Nimesahau jina lake na id ila yupo humu jf
Na hawa wa huku kama lemutuz,sinta,mange wanalipwa sh.ngapii
Hahahaaaa na yeye ana ban...
Mkuu mambo vipi? Miss u sana. miaAaaa huyu pia ana ugomvi na mange nimemgoogle nikampata
Hiyo itakuwa siri yao sidhani kama watasema,ila nadhani yule wa zoom atakuwa anaingiza hela
Michuzi nafikiri ndio blogger anaeingiza pesa nyingi kwa matangazo.
Aaaa huyu pia ana ugomvi na mange nimemgoogle nikampata
Du nilitaka Kudata bora imerudi ...Linda na Bela Naija sikosi kupita aiseee ....wenzetu wapo mbali
Mkuu mambo vipi? Miss u sana. mia