Google yajibu: Wakenya hutaka kujua nini mtandaoni?

Google yajibu: Wakenya hutaka kujua nini mtandaoni?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Mtandao wa Google umetoa ripoti inayobaini kwa undani upekuzi na maswali ambayo Wakenya waliuliza mtandaoni mwaka 2016.


Katika kitengo cha maswali yanayoanza na 'jinsi ya', "jinsi ya kupunguza unene haraka" liliulizwa na Wakenya wengi zaidi.

"Jinsi ya kulainisha nywele asili" lilikuwa swali la tatu kwenye orodha. Maswali mengine yaliyoulizwa ni "Jinsi ya kufanya ngozi iwe nyeupe kitaalamu", "jinsi ya kutongoza wasichana", "jinsi ya kupata tumbo bapa" miongoni mwa mengine.


Wakenya wengi walitafuta maelezo kuhusu afya yao. Maswali yaliyoongoza ni "jinsi ya kupunguza unene haraka" na "jinsi ya kupata tumbo bapa" .

"Jinsi ya kuhesabu siku za ujauzito," lilikuwa la tatu.

Maswala mengine ya kiafya yaliyotafutwa na Wakenya ni "jinsi ya kuzuia uvundo wa miguu" , "jinsi ya kupunguza msukumo wa damu", "jinsi ya kuhesabu siku salama za kushiriki ngono bila kupata mimba" "jinsi ya kuwa mnene kwa siku moja".

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Aleppo". Wengi walitaka kujua hali ilivyo katika mji wa Aleppo uliokumbwa na mapigano makali kati ya wapiganaji na vikosi vya serikali.

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Ethiopia?"

Hii inafuatia maandamano ya jamii za Amhara na Oromia nchini Ethiopia, ambayo yamesababisha mauaji ya takriban watu 100.
 
Mtandao wa Google umetoa ripoti inayobaini kwa undani upekuzi na maswali ambayo Wakenya waliuliza mtandaoni mwaka 2016.


Katika kitengo cha maswali yanayoanza na 'jinsi ya', "jinsi ya kupunguza unene haraka" liliulizwa na Wakenya wengi zaidi.

"Jinsi ya kulainisha nywele asili" lilikuwa swali la tatu kwenye orodha. Maswali mengine yaliyoulizwa ni "Jinsi ya kufanya ngozi iwe nyeupe kitaalamu", "jinsi ya kutongoza wasichana", "jinsi ya kupata tumbo bapa" miongoni mwa mengine.


Wakenya wengi walitafuta maelezo kuhusu afya yao. Maswali yaliyoongoza ni "jinsi ya kupunguza unene haraka" na "jinsi ya kupata tumbo bapa" .

"Jinsi ya kuhesabu siku za ujauzito," lilikuwa la tatu.

Maswala mengine ya kiafya yaliyotafutwa na Wakenya ni "jinsi ya kuzuia uvundo wa miguu" , "jinsi ya kupunguza msukumo wa damu", "jinsi ya kuhesabu siku salama za kushiriki ngono bila kupata mimba" "jinsi ya kuwa mnene kwa siku moja".

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Aleppo". Wengi walitaka kujua hali ilivyo katika mji wa Aleppo uliokumbwa na mapigano makali kati ya wapiganaji na vikosi vya serikali.

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Ethiopia?"

Hii inafuatia maandamano ya jamii za Amhara na Oromia nchini Ethiopia, ambayo yamesababisha mauaji ya takriban watu 100.


Kuna hawajui yoote hii surveillance lkn kutwa nzima wamekaa kusifia Mzungu kwamba wana privacy hawajui kwamba Mzungu ana data zao zote na anazitumia, Serikali yetu ukitaka data zetu mnagoma, na kuleta maneno meengi ya kejeli na kashfa kumbe Wazungu wanawachunguza mpka nnya zenu!
 
Kuna hawajui yoote hii surveillance lkn kutwa nzima wamekaa kusifia Mzungu kwamba wana privacy hawajui kwamba Mzungu ana data zao zote na anazitumia, Serikali yetu ukitaka data zetu mnagoma, na kuleta maneno meengi ya kejeli na kashfa kumbe Wazungu wanawachunguza mpka nnya zenu!
Hakika,hakuna usiri.
 
Nimeipenda ya "jinsi ya kuwa mnene kwa siku moja", inawezekana hiyo?
 
Mtandao wa Google umetoa ripoti inayobaini kwa undani upekuzi na maswali ambayo Wakenya waliuliza mtandaoni mwaka 2016.


Katika kitengo cha maswali yanayoanza na 'jinsi ya', "jinsi ya kupunguza unene haraka" liliulizwa na Wakenya wengi zaidi.

"Jinsi ya kulainisha nywele asili" lilikuwa swali la tatu kwenye orodha. Maswali mengine yaliyoulizwa ni "Jinsi ya kufanya ngozi iwe nyeupe kitaalamu", "jinsi ya kutongoza wasichana", "jinsi ya kupata tumbo bapa" miongoni mwa mengine.


Wakenya wengi walitafuta maelezo kuhusu afya yao. Maswali yaliyoongoza ni "jinsi ya kupunguza unene haraka" na "jinsi ya kupata tumbo bapa" .

"Jinsi ya kuhesabu siku za ujauzito," lilikuwa la tatu.

Maswala mengine ya kiafya yaliyotafutwa na Wakenya ni "jinsi ya kuzuia uvundo wa miguu" , "jinsi ya kupunguza msukumo wa damu", "jinsi ya kuhesabu siku salama za kushiriki ngono bila kupata mimba" "jinsi ya kuwa mnene kwa siku moja".

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Aleppo". Wengi walitaka kujua hali ilivyo katika mji wa Aleppo uliokumbwa na mapigano makali kati ya wapiganaji na vikosi vya serikali.

Wakenya pia walitaka kujua "Nini kinachotokea Ethiopia?"

Hii inafuatia maandamano ya jamii za Amhara na Oromia nchini Ethiopia, ambayo yamesababisha mauaji ya takriban watu 100.

[emoji115][emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahsante Google! Kwa kubainisha watani zetu kisirisiri inaonesha hawajiamini ktk masuala mengi na wala hawajipendi muonekano wao. Siku zote tumekuwa tunawaambia hii kitu hapa barazani JF lakini walikuwa wabishi sasa mambo yote hadharani.
 
If this is what leads people to say that there is no privacy on the internet then i pity some of you

True there is no Privacy

But this Google report should not be your Ground Zero argument!!....
 
Ahsante Google! Kwa kubainisha watani zetu kisirisiri inaonesha hawajiamini ktk masuala mengi na wala hawajipendi muonekano wao. Siku zote tumekuwa tunawaambia hii kitu hapa barazani JF lakini walikuwa wabishi sasa mambo yote hadharani.
Isitoshe NO GVE TWO SHITS ABOUT TZ hapa juu .....as you have seen ...we have Ethiopia to worry about ...sisi si Watani wenu Nope Keep wishing!
 
Back
Top Bottom