Gosby atoka na Wema Sepetu Balaa

Gosby atoka na Wema Sepetu Balaa

Rapper Gosby ametoa wimbo - Wema Sepetu, amechana sana huko ndani, naomba kama kuna mtu anayo hiyo ngoma atuwekee ili tuweze kuisikiliza vizuri, mimi nimeisikia redioni leo mchana... Diamond kapewa mtihani...

Wema naye na vijibwana Vya AJABU AJABU ....Vya shombo ...ajifunze kwa Klyn ....hakui? Those are foolish age dramas
 
Anabaniwa na nani?? Atoe pesa apate airtime.

Ngoma yake "Naogopa" ft Ommy Dimpoz inapewa airtime sana kwa redio hata leo nimeiskia mara mbili au tatu, hata Monifere ft Jux na Vee Money inagongwa sana redioni, sema dogo hana shobo yuko cool sana
 
yule n msanii wa kumckiliza getto na co biashara
huo wmbo wak utaish km wik mojà kwny media dn unadisappear
mkono mtupu haulambwi
 
yule n msanii wa kumckiliza getto na co biashara
huo wmbo wak utaish km wik mojà kwny media dn unadisappear
mkono mtupu haulambwi

umeusikia au unapiga tunguli tuu, katoa monifere mwaka jana na mpaka sasa inapata rotation...me naogopa katoa mwezi wa tano na bado inagongwa ile mbaya
 
rotation inapt statn gn???
jamaa hafany promo za ngoma zake
na ukitaj wasanii wanaopat airtm gosby hàyupo????
 
Sidhani kama ametoka na madam, lakini habari nilizonazo alikuwa anamsasambua Vanessa

Acha fix kwa tunaomfahamu gosby anatoka na Cindy Rulz dem mkali na msanii pia..Vanessa ana blendiana na Ellen De generes wa bongo..hizo rumours sijui Millard sijui gosby ni danganya Toto tu! Salam ziwafikie warumi na wambea wote wa Jf cc Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Acha fix kwa tunaomfahamu gosby anatoka na Cindy Rulz dem mkali na msanii pia..Vanessa ana blendiana na Ellen De generes wa bongo..hizo rumours sijui Millard sijui gosby ni danganya Toto tu! Salam ziwafikie warumi na wambea wote wa Jf cc Dinazarde

Habari za Gozby na Vanessa ni za kweli hata mimi nilishawahi kuzisikia , hata Gossip Cop kwenye you heard alishawahi wauliza hili swali wakabaki wanazuga tu..nadhani sasa watakuwa wametemana
 
Mi kila nikimuona Baghdad namsahau mpaka liandikwe jina ndio nagutuka, hivi katumia nini mpaka kapungua hivyoo kuna jiran yetu huku ana tumbo kama kameza watu wawilii
 
Mi kila nikimuona Baghdad namsahau mpaka liandikwe jina ndio nagutuka, hivi katumia nini mpaka kapungua hivyoo kuna jiran yetu huku ana tumbo kama kameza watu wawilii

Alisema mama ake alimtafutia dawa kwa mwezi alikua anapungua kilo 15..
 
Dawa gani hiyoo tunataka na sie huku watu wapunguee

Labda ukamsearch fb then atakuelekeza na inavoonekana itakua ya mbelembele maana mtu mwenyewe wa kishua kweli so jipange incase ikiwa bei kubwa uweze kumudu.
 
Back
Top Bottom