Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Nilikua nasoma story flani, nikapata hiipicha hapo chini, kuna meli flani inayoitwa "Lucky star Zanizibar" ilishikwa na tani 15 za samaki bila kibali cha kuwa ndani ya maji ya kenya.... meli hio ilishikwa mwaka wa Mei 2014 hadi sasa haujawahi achiliwa,
Meli kama hii yenye uwezo wa kuvua samaki zaidi ya tani 15 ni thamani kwa uchumi wa nchi kama Zanzibar/Tanzania yani (Blue water economy), nashangaa ni hatua gani (za kisheria au ki diplomasia) serekaliya Tanzania imechukua ili meli hii irudi majini na kufanya kazi, manake nijuavyo mimi kama ni meli ya Kenya ingekua imefanyiwa hivi hakungekalika, kama serekali ingezubaa kidogo tu, ingekua kila mwezi wanahabari na wanasiasa bungeni wanawapatia pressure serekali kwa kuwakumbusha wananchi kwamba meli inaoza bandarini mwa nchi nyengine. nimetafuta online na sijaona hata tovuti moja ya kiTz inaongelea kuhusu hii meli inayoooza pale mombasa...
Aama hii meli si yenu???
Tanzanian fishing vessel Lucky Star Zanzibar with registration number 51M387 at Mbaraki Wharf Mombasa , the vessel with 15tones of fish has been held since May 5,2014, since it did not follow required bureaucratic by conducting it activities in Kenyan water .Photo Elkana Jacob
Kenya may ban international fishermen from her waters
Tanzania vessel seized in Kenya
Meli kama hii yenye uwezo wa kuvua samaki zaidi ya tani 15 ni thamani kwa uchumi wa nchi kama Zanzibar/Tanzania yani (Blue water economy), nashangaa ni hatua gani (za kisheria au ki diplomasia) serekaliya Tanzania imechukua ili meli hii irudi majini na kufanya kazi, manake nijuavyo mimi kama ni meli ya Kenya ingekua imefanyiwa hivi hakungekalika, kama serekali ingezubaa kidogo tu, ingekua kila mwezi wanahabari na wanasiasa bungeni wanawapatia pressure serekali kwa kuwakumbusha wananchi kwamba meli inaoza bandarini mwa nchi nyengine. nimetafuta online na sijaona hata tovuti moja ya kiTz inaongelea kuhusu hii meli inayoooza pale mombasa...
Aama hii meli si yenu???
Tanzanian fishing vessel Lucky Star Zanzibar with registration number 51M387 at Mbaraki Wharf Mombasa , the vessel with 15tones of fish has been held since May 5,2014, since it did not follow required bureaucratic by conducting it activities in Kenyan water .Photo Elkana Jacob
Kenya may ban international fishermen from her waters
Tanzania vessel seized in Kenya