nimahussein
Senior Member
- Sep 17, 2013
- 181
- 27
Government is better than private
mkuu unaweza kunipa sababu,maana nasikia sekta binafsi ndio kuna mshahara mzuri
oky
serikalini ufanyakazi wake hauna command sana ukilinganishwa na sekta binafsi
private sekta kazi yakoinakua rehani muda wowote
eg kampuni ikifilisika ndo mwisho wa ajira yako
lakini Government hakuna kitu kama hicho