Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 387
Hivi alikiba huwa hanaga sehemu nyingine ya kupiga show?Sasa kwenye hili tamasha inabidi kiba aende na Kalapina "asiye husika na show ashuke"
Zipo kama tandahimba,nanjilinji,kazolamimba nkHivi alikiba huwa hanaga sehemu nyingine ya kupiga show?
hali ngumu babaa!!Kwanini umkose? Nini shida?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Oh sawa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya ngoja niendeMbona unacheka tena!
Halafu nimekuPM mkuu..
Ha ha h a kwan na huyu naye unamjuadahh!huyu naye namkosa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sana tu!Ha ha h a kwan na huyu naye unamjua
Bas sawa mim wa fiesta nakusubr we Mombasa nenda tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sana tu!
umsubiri nani....[emoji57] [emoji57] [emoji57]Bas sawa mim wa fiesta nakusubr we Mombasa nenda tu
Ingekua Mombasa nakupelka usingema nkusubirumsubiri nani....[emoji57] [emoji57] [emoji57]
kwenda hukoo!!
sasa je?!!!Ingekua Mombasa nakupelka usingema nkusubir
Ha ha haa utanpata kwa fiesta mambo ya passport nawaachia wenyewesasa je?!!!
Inavyoonekana kaunti 001, au ukipenda kaunti ya Mombasa inatarajiwa kupata masupastaa mpwito mpwito mwaka huu.
Baada ya kumleta Chris Brown Mombasa, Gavana wa Mombasa, Gavana 001, almaarufu Sultan au ukipenda Ali Hassan Joho aliwapa ahadi mashabiki waliohudhuria tamasha la [HASHTAG]#MombasaRocks[/HASHTAG], kuwa atamleta Nicki Minaj kuperform Mombasa.
Chini ya ministry ya Tourism, kaunti ya Mombasa imekuwa mstari wa mbele kukuza jina lake kupitia matamasha mbalimbali yanayoandaliwa ili kuipa sifa kaunti hii kwenye sekta ya Utalii.
Hivyo basi, wapenzi wa Nicki Minaj kaeni tayari.