Governor wa Mombasa kumleta Nicki Minaj baada ya Chris Brown



Swali langu ni kwamba wanatumia shilingi za walipa kodi kuwaleta hawa Wanamuziki?
 
Swali langu ni kwamba wanatumia shilingi za walipa kodi kuwaleta hawa Wanamuziki?

Hapana bro. This guy is financially stable. He runs Mombasa. He is super rich. Anawaleta kwa pesa yake just to make Mombasa famous kwa shughuli za starehe and to improve tourism.

Ali Kiba amekwama huku hataki kurudi Dar tokea lile tamasha la ODM aliloPerform na Diamond. Naskia analala na kuamka kwake. Joho is very rich. Trust me he runs Mombasa and possibly Kenya.
 
Reactions: MC7
Swali langu ni kwamba wanatumia shilingi za walipa kodi kuwaleta hawa Wanamuziki?
Madai yao ni kwamba wanatengeneza Imani kwa dunia kuwa Mombasa kuna hali ya Amani na hali ni shwari out of Al shabaab

Ili Wazungu warudi tena kuwekeza kwenye hotels huko na idadi ya watalii iongezeke kama zamani kabla ya matukio ya Al shabaab.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina sasa
ndo nshamkosa na huyooo!!!
Ukibebwa jishkize hiyo ndo love, Usiwe kambale.... Haya entrance tena juu yangu, yako nauli tu kufika hapa [emoji28]
 
Madai yao ni kwamba wanatengeneza Imani kwa dunia kuwa Mombasa kuna hali ya Amani na hali ni shwari out of Boko Haram

Ili Wazungu warudi tena kuwekeza kwenye hotels huko na idadi ya watalii iongezeke kama zamani kabla ya matukio ya Boko haram.
Boko Haram ama Al Shabaab? Get ur facts right, Boko Haram is in Nigeria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…