Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Ukifa kwa stress bongo utakua umejitakia,miliki simu janja na bando la kutosha utakuja nishukuru baadae!
πππππ
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo hatupoiUkifa kwa stress bongo utakua umejitakia,miliki simu janja na bando la kutosha utakuja nishukuru baadae!
πππππ
Noma sana!Wabongo hatupoi
Hebu tueleze vizuri ilikuwaje ukawajua hao viumbe?maana hiyo kazi wanaoijua ni wanyonyajiShida ya mkono wa Sweta bn ukibinjua govi unakutana na unga utadhani kwenye kichwa ulimwagia unga wa dona..hivi wanapataje ujasiri wa Kula mzigo hawa watu na ile Hali?
Wanawake Wana huruma snπ
Halafu msikariri mambo.Kuna makabila kibao hawana mila ya kutahiri:Wajaluo,Wajita,na mengineyo kibao.Ukiona mtu wa kabila hilo katahiriwa jua ni kwasababu ya exposure yake, ila kabila kama kabila halina mila hiyo.Bwana Butongwa mkono wa sweta umemuokoa
atakua ni msukuma
Wayahudi na waarabu walianza miaka maelfu kabla ya tarehe 01/01/1, yaani kabla ya Yesu miaka maelfu kabla ya kuzaliwa Yesu au Muhamad.HIVI TEKNOLOJIA YA KUTAHIRI IMEANZA LINI?
Govi likisimama barabara ni sawa na mtu aliyetahiriwa kwa hiyo inawezekana binti hakuelewa hasa kama ni usiku.
Acha kuwaza upuuzi wewe..mm mwenyewe si mwanaumeHebu tueleze vizuri ilikuwaje ukawajua hao viumbe?maana hiyo kazi wanaoijua ni wanyonyaji
Yeye mwenyewe hiyo ameshinda rufaaHuyo jamaa alikuwa anafodoa.
Ukifodoa liume linakuwa kama Limetahiriwa.
Tunakata Rufaa mbakaji ale mvua.
Hahaha aseeAcha kuwaza upuuzi wewe..mm mwenyewe si mwanaume
Mimi nimetahiriwa jando la Porini na kisu tena bila ganzi nikiwa najitambua,siyo km hawa watoto wenu wa siku hizi mnaowatahiri wakiwa na siku 40,so kipindi cha makuzi nishalivuta sn govi na kukutana na unga
Hakimu hatakiwi kujua hilo. As long as binti ana akili timamu maana yake anajua uume uliotahiriwa na usiotahiriwa.Huyo hakimu alikuwa wa jinsia gani kwanza? Had ashindwe kuelewa kuwa ukisimamisha ukarudisha govi nyuma uume unakuwa sawa nawa mwanaume aliyetahiriwa
Binti atakuwa alinogewa na utamu kiasi Cha kushindwa kumchunguza Butongwa km ametahiriwa au lah!!, Wanawake huwa wanasema eti Mashine yenye govi ni tamu kuliko isiyo na govi.Sijui ni kweli.
Kwani Muhamad alizaliwa mwaka gani?Wayahudi na waarabu walianza miaka maelfu kabla ya tarehe 01/01/1, yaani kabla ya Yesu miaka maelfu kabla ya kuzaliwa Yesu au Muhamad.
Wiki tano kweli,asielewe tu??.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alilibenjua likaonekana kama si govi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]