Kama undergraduate ulisoma UDSM, nakupongeza kwa hiyo GPA! Yan ukishakuwa na GPA ya 3.0 and above kutoka UD, bas we hata kuwa tutor utafaa... ile ya 3.8 wanayotakaga ni kutoka 'vyuo vingine'...
sifa za kijinga
Napenda nipige MA in History na nimeuliza wadau mana sina uwezo wa kuzunguka Vyuo vyote
Kama undergraduate ulisoma UDSM, nakupongeza kwa hiyo GPA! Yan ukishakuwa na GPA ya 3.0 and above kutoka UD, bas we hata kuwa tutor utafaa... ile ya 3.8 wanayotakaga ni kutoka 'vyuo vingine'...