Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
Wakuu,heshima yenu kwanza!
Pili naomba kuuliza ili kufundisha vyuoni(Universities,Institutes,Colleges) katika level mbalimbali(degree,diploma,certificate) Inampasa mfundishaji awe na ufaulu wa GPA gani?? Kwa kiwango chake?
Either kama ana Degree,awe na GPA gani?? Kama ana Diploma awe na GPA gani??
Natanguliza shukrani zangu.
Pili naomba kuuliza ili kufundisha vyuoni(Universities,Institutes,Colleges) katika level mbalimbali(degree,diploma,certificate) Inampasa mfundishaji awe na ufaulu wa GPA gani?? Kwa kiwango chake?
Either kama ana Degree,awe na GPA gani?? Kama ana Diploma awe na GPA gani??
Natanguliza shukrani zangu.