Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata tu mkuu,usiogope,3.7 ni GPA kubwa Sana.Wana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
Mm nilikuwa na 4.4 overall na nimepiga diploma ya account MoCU ila nikaaply juzi, na nimepigwa nyundo, na mathematics ya o level Nina CWana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
Nilikuwa na multiple admission so nika confirm nilichokipataDuh nma subir round nyingne
umekuja kuomba ushauri wa nini sasa.Unanipangia
umekuja kuomba ushauri wa nini sasa.
ukweli ni kwamba hupati.
[emoji23][emoji23][emoji23] usimvunje moyo mkuuumekuja kuomba ushauri wa nini sasa.
ukweli ni kwamba hupati.
Yah huu ndo ukweli, wale jamaa acha kabsa. Me pia nmekula banzi na gpa yangu ya 3.9 ya account hapo TIA japo o level math nlizingua na D lakin naona hawana huruma [emoji23] kwa kweliumekuja kuomba ushauri wa nini sasa.
ukweli ni kwamba hupati.
MoCUAhaa sawa umepata wap mkuu
Hapa naona mnataka kupishana lugha, la msingi amekushauri pamoja na kuomba UDSM ambako kuna uwezekano mkubwa wa kukosa, uombe vyuo vingine ambavyo vinaweza kukupa nafasi kwa urahisi zaidi. UDSM ni ndoto ya wengi lakini ukweli UDSM pia ni kaburi la wengi. Kuwa makini,tumeyapitia na kuyaona.
kaburi la.wengi kivip? bossHapa naona mnataka kupishana lugha, la msingi amekushauri pamoja na kuomba UDSM ambako kuna uwezekano mkubwa wa kukosa, uombe vyuo vingine ambavyo vinaweza kukupa nafasi kwa urahisi zaidi. UDSM ni ndoto ya wengi lakini ukweli UDSM pia ni kaburi la wengi. Kuwa makini,tumeyapitia na kuyaona.
Unataka kusoma jalalani?Wana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
UDSM Kama huna GPA ya 4.0 kwenda juu ukipata Basi shukuru Mungu, Ila ukweli Ni kuwa hupati nafasi.kaburi la.wengi kivip? boss