Gpa ya3.7Diploma ntapata kwel UDSM Bcom Accounts

Gpa ya3.7Diploma ntapata kwel UDSM Bcom Accounts

Unapata we omba iv huwa n kwel maana mdogo wangu alipata division three na hGK na akapata ud na mkopo akapata asilimia 30
 
Naomba kujua ,nili apply vyuo vitatu nikapata kimoja muccobs ambayo ni full admission Ila nime cancel ili niweze apply chuo kingine lkn wakat wa kufanya applications chuo kingine ina sema "you
Do not have clear status please consult TCU for reconciliation"
 
Naomba kujua ,nili apply vyuo vitatu nikapata kimoja muccobs ambayo ni full admission Ila nime cancel ili niweze apply chuo kingine lkn wakat wa kufanya applications chuo kingine ina sema "you
Do not have clear status please consult TCU for reconciliation"
Mwanakulitafuta mwana kulipata

Tuliwaambia mkajifanya hamsikii


Anyway kwa kukusaidia kesho Asubuhi na mapema wapigie TCU wareject offer uliyopata
 
Kwan hawajui kama nime reject...coz nime click tayar button ya kukataa admission au Adi kesho asubuhi waki amka Wataona
 
Kwan hawajui kama nime reject...coz nime click tayar button ya kukataa admission au Adi kesho asubuhi waki amka Wataona
Amna majina Yameshapelekwa TCU na chuo husika kwahiyo sahiz wew unasomeka kama mwanachuo wa Muccobs ili jina lako liondolewe TCU inabidi uwapigie wao wakuondoe kwenye system yao waliyokusajir
 
Amna majina Yameshapelekwa TCU na chuo husika kwahiyo sahiz wew unasomeka kama mwanachuo wa Muccobs ili jina lako liondolewe TCU inabidi uwapigie wao wakuondoe kwenye system yao waliyokusajir
Duh sawa....ngoja nipambane....
 
Hv jaman kama chuo hukitak kwann mnaangaika kukiomba!? Ona sasa unavyoangaika! Na ukileta masihara mwaka huu utakosa chuo chalii yangu! Amini kwamba
Ili tokea tu...Ila TCU wana complicated sana ,sasa nime Sha cancel Ila nikitaka apply inaleta shida
 
Unanipangia
Mkuu umeomba ushauri, huyo unayemwambia anakupangia....inawezekana yupo kwenye hiyo michakato ya uchambuzi,so fuatilia vyote unavyoshauriwa kwa makini kama unataka kufanikiwa, ukijifanya mjuaji utafail kwenye mishe zako
 
Naomba kujua ,nili apply vyuo vitatu nikapata kimoja muccobs ambayo ni full admission Ila nime cancel ili niweze apply chuo kingine lkn wakat wa kufanya applications chuo kingine ina sema "you
Do not have clear status please consult TCU for reconciliation"
Jaza fomu TCU coz tiyari ulikuwa na full admission
 
Mm nilikuwa na 4.4 overall na nimepiga diploma ya account MoCU ila nikaaply juzi, na nimepigwa nyundo, na mathematics ya o level Nina C
UDSM sijawahi waelewa kwenye selection za mwanzo mkuu, wewe tegea mda wanakaribia kufunga dirisha la uombaji hapo unapata hata kwa GPA ya 2 point something
 
Back
Top Bottom