Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ujinga madogo, someni.
Mm nimemaliza UDSM law, tena miaka ile wakati chuo kina sifa zake (acha skuhzi kimejaza vilaza), gpa yangu ni 4.1, nilipewa bure?
Ujinga wako usiulazimishie kwa watu wengine.
Ushinde unacha facebook halafu upate 4!!!?
Vipi dogo, mbona mahasira mengi? Wamekushika?Naona matangazo ya kuongeza elimu, kazi n.k eti GPA sijui above 3.8, wengine 4.0 n.k n.k
Sasa swali langu je ni ya chuo gani? kwasababu kuna vyuo unaanza mpaka unamaliza hakuna mtu aliwahi kupata GPA ya 4 mifano tunayo ,na kuna baadhi ya vyuo yaani watu wameishia GPA ya 4.0, ukiangalia GPA zao ni vichekesho eti 4.9, 4.8 siuji 4.7 ambayo mimi na U T.O wangu siwezi kwa hiki chuo nilichopo. Elimu ya chuo kikuu bongo ya kijinga kungekua na TCU examinations watu washindane GPA ila sio uhuni wengine wanapewa wengine wananyimwa.
Yaani ni sawa necta zisingekuwepo halafu unachagua watu kwenda Form Five kuangalia matokeo ya shule zao ya terminal unaweka cuuttpoint kabisa kuanzia 75,na wakati kila shule ilifanya mtihani wake .Nazungumza hivi kwasababu kuna shule wastani utakuta wanaanzia 65 wengine 95 n.k
Hakuna elimu mbovu kama ya chuo ,unfair.. elimu form IV tu na six huku kwingine mbwembwe ,ngoja na mimi nianzishe chuo changu wanafunzi GPA zao hazitakua chini ya 4.5 wote wawe na vigezo muhimu .
Umeshamaliza chuo?..umepata GPA ya kiasi gani?Acha uongo we kama kichwa chako kibovu acha kuweka rawama me nilienda ofis za udsm pale sabasaba kila department wakanipa true fact ya usomaji na upataji wa gpa nzur na list ya waliofanya vizuri tangu chuo kianze
Sawa ngoja visifike,maana najua hata hiyo UDSM mnyoitukuza kuna product mbovu sana huku maofisini.
kama wakina mwigulu eeeeh??
Naona matangazo ya kuongeza elimu, kazi n.k eti GPA sijui above 3.8, wengine 4.0 n.k n.k
Sasa swali langu je ni ya chuo gani? kwasababu kuna vyuo unaanza mpaka unamaliza hakuna mtu aliwahi kupata GPA ya 4 mifano tunayo ,na kuna baadhi ya vyuo yaani watu wameishia GPA ya 4.0, ukiangalia GPA zao ni vichekesho eti 4.9, 4.8 siuji 4.7 ambayo mimi na U T.O wangu siwezi kwa hiki chuo nilichopo. Elimu ya chuo kikuu bongo ya kijinga kungekua na TCU examinations watu washindane GPA ila sio uhuni wengine wanapewa wengine wananyimwa.
Yaani ni sawa necta zisingekuwepo halafu unachagua watu kwenda Form Five kuangalia matokeo ya shule zao ya terminal unaweka cuuttpoint kabisa kuanzia 75,na wakati kila shule ilifanya mtihani wake .Nazungumza hivi kwasababu kuna shule wastani utakuta wanaanzia 65 wengine 95 n.k
Hakuna elimu mbovu kama ya chuo ,unfair.. elimu form IV tu na six huku kwingine mbwembwe ,ngoja na mimi nianzishe chuo changu wanafunzi GPA zao hazitakua chini ya 4.5 wote wawe na vigezo muhimu .
Masikini T.O dah poleeeeeeeee
Chuoni sio Secondari......Chuo ni safari nyingine, waulize ma T.O wenzio wote walipofika vyuo waliendelea kua ma T.O????
In short mdogo wangu toka level moja ya elimu kwenda nyingine mambo huwa yanabadilika,..T.O wa wakati wako wa primary school inawezekana kabisa kidato cha IV hakufanya vizuri sanaaaa,na T.O wa mwaka wako kidato cha nne inawezekana A-level alichemka...vivyo hivyo hata form 6..swala sio U T.O, swala ni Je unaweza vipi kukabiliana na changamoto za Elimu ya Level uliyopo??
Mifano:
1.Kuna jamaa nilisoma nae primary alikua kilaza we acha,akafeli darasa la saba,O-level akaenda St.Anthony ajabu ndio kichwa kilichoweka div1 pnt 8 mwaka huo pale St.Anthony
2.Kuna kijana alimaliza form four mkali balaa pale Azania,akiwa ana point 3 ktk comb zote tatu. Kapiga form6 ana Div IV kwenda Zero
MAWAZO YANGU....