GPA zetu bongo kweli ni kizungumkuti

GPA zetu bongo kweli ni kizungumkuti

GPA my ass soma u-graduate!!
Otherwise uwe unataka mashindano
au unataka kuwa professa
 
Pamoja na 'kusongoka'kuna departments zinabana sana udsm,mwaka 2009 ktk kitivo cha SOCIAL SCIENCE wanafunzi takribani 1500,FIRST CLASS ilikuwa 1. Tena ya 4.4, mwaka uliofuata yaani 2010 niliomaliza mimi pia hapo hapo udsm,FIRST CLASS pia ilikuwa 1,ktk idadi kama hiyo 1500. Ambayo pia ilikuwa ya 4.4.kiukweli kwa chuo km udsm wengi wanamaliza na GPA za kawaida sana e.g 3.3 haimaanishi km hawasomi.cjui vyuo vingne!

kaka umenena hzo ndo GPA zetu Hapa udsm
 
Naona matangazo ya kuongeza elimu, kazi n.k eti GPA sijui above 3.8, wengine 4.0 n.k n.k
Sasa swali langu je ni ya chuo gani? kwasababu kuna vyuo unaanza mpaka unamaliza hakuna mtu aliwahi kupata GPA ya 4 mifano tunayo ,na kuna baadhi ya vyuo yaani watu wameishia GPA ya 4.0, ukiangalia GPA zao ni vichekesho eti 4.9, 4.8 siuji 4.7 ambayo mimi na U T.O wangu siwezi kwa hiki chuo nilichopo. Elimu ya chuo kikuu bongo ya kijinga kungekua na TCU examinations watu washindane GPA ila sio uhuni wengine wanapewa wengine wananyimwa.
Yaani ni sawa necta zisingekuwepo halafu unachagua watu kwenda Form Five kuangalia matokeo ya shule zao ya terminal unaweka cuuttpoint kabisa kuanzia 75,na wakati kila shule ilifanya mtihani wake .Nazungumza hivi kwasababu kuna shule wastani utakuta wanaanzia 65 wengine 95 n.k
Hakuna elimu mbovu kama ya chuo ,unfair.. elimu form IV tu na six huku kwingine mbwembwe ,ngoja na mimi nianzishe chuo changu wanafunzi GPA zao hazitakua chini ya 4.5 wote wawe na vigezo muhimu .

UDSM bwana kinaumiza sana. Mtu form four na six ana one ila akija hapa anapigwa lower dah. hvi unadhani ni kilaza au ? In short kuna vipaji vingi tu vinaharibiwa hapa udsm. Najua hawa wangekua chuo kingine wangeperform vizuri. Inauma sana. Yakikupata mtamuelewa huyu jamaa. Ok labda kuna kitu walikosea!!!
 
UDSM bwana kinaumiza sana. Mtu form four na six ana one ila akija hapa anapigwa lower dah. hvi unadhani ni kilaza au ? In short kuna vipaji vingi tu vinaharibiwa hapa udsm. Najua hawa wangekua chuo kingine wangeperform vizuri. Inauma sana. Yakikupata mtamuelewa huyu jamaa. Ok labda kuna kitu walikosea!!!
Nadhani ushanisoma kaka,wengine wangekua waelewa kama wewe ingekua safi
 
Back
Top Bottom