GR Hotel Mbeya inaongozwa na mtu aisye mtanzania kwa miaka 3 sasa. Je, hakuna mtanzania mwenye sifa ya kuwa Meneja hapo?

Labda kajaribu Wabongo ameona ni hasara tu.
Mishe na wizi mwingi sana. Wakati mwingine afadhali umlipe foreigner hela nyingi ili mambo yaende.
 
Muhasibu akiandaa hesabu anatoa triplicate copy...moja inaenda TRA, nyingine kwa mteja na yeye anabakiwa nayo moja...au siku hizi utaratibu uko vipi.....na yeye hawezi peleka hesabu za magumashi TRA...
watu wamelia sana wengi biashara walifunga sababu ya hesabu za magumashi.....mtu anakwambia nataka kodi iwe kiasi hiki bas we unatengeneza hesabu kwa kurudi nyuma unaanzia kwny kodi unarudi hadi kwenye mauzo kazi kwisha......alivoingia Magu kikaja kilio na mhasibu anakupiga chenga msala unabaki kwako mwenye biashara
 
Tunafungua biashara ili tupate faida .sasa utanilazimisha kumwajiri mtanzania kwanini kama ni mvivu na hata lugha ya kuongea na wateja inampiga chenga! NIPATE HASARA KWAAJILI YAKO.ACHANA NA HUO UJINGA TULIWAAMBIA MSOME HAMTAKI SASA MNALALAMIKA.KAMA HUNA ELIMU NENDA KAFANYE KAZI NYINGINE SIO KUNG'ANG'ANIA KAZI USIZOWEZA
 
Umenikumbusha Mbeya aisee pale ilikuwa kijiwe changu cha kunywa kahawa na juice baada ya kufunga kibanda changu pale lanchi taimu huyo manager anaitwa Sum hv bado yupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli. Ila kama tunataka maendeleo hatuyapata kwa kufikiria kuwa majirani zetu au watu wa nje wanatufanyia kazi. Tutakuwa tumepotea. Ni lazima tuhakikishe watu wetu wanafanya kazi zetu wenyewe.
Wapo wengi sana. Ukiwemo wewe. Labda nawe uniambie hujiwezi
 
Rafiki yako hapo siwezi ongeza.
Muhimu ni wewe na mimi kuwa marafiki ba kuendesha mambo yetu wenyewe kama Watanzania.

Huwezi toa sifa kwa mtu ambazo pia unastahili kuwa nazo. Tufanyie kazi uwezo wetu na tuachane na kasumba ambayo kwa hakika inaharibu sana uwezo wetu kupanda juu. Inatutia woga ambao haupo
 
Wewe ni raia wa wapi?
 
Ha ha ha unasema?!
Cc Mfiaukweli
 
Hapana. Nimekunukuu uone hili tatizo sio dogo.

Nilishawahi kuandika hapa kuwa imani kwamba kila mwenye cheti anaweza kufanya kazi kwa ufasaha ni uwendawazimu. Wahasibu wengi ninaowafahamu wanafanya kazi utadhani ni extension ya TRA. Utakuta "mhasibu" eti anamuelekeza mfanyabiashara aliebambikiwa kodi: "tuandike barua ili ulipe kidogo kidogo". Na watendaji TRA kwa kujua kuwa watu wengi hawajui haki zao (na wana wahasibu wa sampuli hiyo) ndio wanazidi kuzusha madai ya ajabu ajabu.
 
GR is among the best hotel in Mbeya, wacheni wageni tupate huduma bora. Mtu unalala chumba cha tzs 35,000 unamkia supu ya kuku, viazi mchemsho, chai, mayai, nk???
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga hotel yako uwaajiri wabongo watakufilisi mfyooo.....ataiba mpaka carpert
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…