..Grace Kingalame wa tbc1........................................


Mkuu hayo sasa ni yako.....................maana naona unamponda sana,watu kama nyinyi yawezekana mlimtongoza akawatolea nje ndio muanze kumponda.....ha ha ha ha ha....
 
is this a place for the great thinkers? or am in the wrong room!!!!
 
Hata mimi namkubali anatangaza vizuri sana huyu dada,pia nimtulivu awapo kazini.
 
"Unatamani kuzaa wakati bado shuleni,tumia akili kukataza kabla hujawa matatizoni....." Umempa promo za kutosha,km ana fadhila atakukumbuka!
 
Hakuna lolote. She's JUST like any other. C'est ne pas vrai!
 
Sikubali. I don't agree. Je ne suis d'accord pas! C'est le mensonge.
 
Guys humu tunaongea kwa maneno na pics sasa kama vipi tuwekeeni basi picha tumthibitishe.
 
Mie nina kitu tofauti kuhusu watangazaji wote wa TV zote Tz. Hivi ni desturi au sheria kuwa WANAUME watangazaji ndio wawe wao wanaongoza katika utangazaji na sio WANAWAKE??. Kila taarifa ya habari Mwanaume ndiye anajitia kuintroduce na kumuintroce Mwanamke mtangazaji. Hii inanikera sana. Wanawake wanauwezo mkubwa hata kuliko hao wanaume wanaojipeleka kimbelembele. Kwa mfano ............ Endelea kujaza orodha.
 
Uko sahihi, wanapokuwa na Msami wanavutia mbaya...
 
Guys humu tunaongea kwa maneno na pics sasa kama vipi tuwekeeni basi picha tumthibitishe.

...unajua mkuu na mimi nilikuwa najiuliza hilo: anafaaa...hafai...mbaya...mzuri...nywele nzuri....hana nywele...anakopa taksi....hakopi taksi...!! cha ajabu ni kuwa hakuna hata mmoja wa wabishani hawa anayetuwekea picha ili sisi wengine tusiokuwa mashabiki wa kuangalia TBC 1 tuone hicho wanachobishania!!:noidea:
 
I like her...............hayo mengine ya kukopa sijui kila mtu ana meusi yake bwana.
 
Da 2ache majungu huyu dada ni kipaji ya akiwa na j msami kwisha napenda kusikiliza taarifa ya habari! Keep it up grace!
 
Tuwekeeni picha basi na sisi ambao hatuangalii tibisii tumthaminishe!!
 

kesha cahakachuliwa na chama cha magamba kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…