Mi alikuaga jirani yangu 1. shepu ovyoooooo 2. usistaduu wakati hana senti anajitutumua kupanda taxi anakopa mpaka akahama mitaa ya kwetu kwa madeni ya madreva taxi 3. kazi ya utangazaji kwa mtu mwenye sauti (si bubu) kuna asiyeiweza?si unasoma tu karatasi? acheni kusifia upuuzi?
hahah maana mkuu tusije tukawa tunabishana tu hapa kumbe kiongozi una refer nywele za maeneno mengine...pamoja kaka
Guys humu tunaongea kwa maneno na pics sasa kama vipi tuwekeeni basi picha tumthibitishe.
Huyu dada namzimia kichizi nywele,rangi,sauti,macho na lips zake.nilifanikiwa kumuona ana shepu hovyo.
She is good at it.....yeah
...kwa wale wafuatiliaji wa taarifa za habari katika tv zetu mtakubaliana na mimi kuwa huyu mwanadada grace kingalame ni moto wa kuotea mbali anapokuwa studio,hasa akiwa na joseph msami....sidhani kama kuna mtangazaji wa kike mwenye uwezo wa juu kama huyu.....
habari za siku nyingi....lolso what?