..Grace Kingalame wa tbc1........................................

..Grace Kingalame wa tbc1........................................

Mimi ningependa kama kuna wataalamu wa ku read aina za watu humu

wanieleze midomo ya huyu dada na wanawake wenye midomo hiyo wanakuwaga vipi???
 
Namkubali pia she is so cute ( natural colour nywele na mengine mengi) big up dada endelea hivyo.
 
...Kwa wale wafuatiliaji wa taarifa za habari katika TV zetu mtakubaliana na mimi kuwa huyu mwanadada Grace Kingalame ni moto wa kuotea mbali anapokuwa studio,hasa akiwa na Joseph Msami....Sidhani kama kuna mtangazaji wa kike mwenye uwezo wa juu kama huyu.....

amekutuma uje umsifie huku?,huyu dada ni mpuuzi sana na alionyesha huo upuuzi wake kwenye taarifa za habari wakati wa kampeni mwaka 2010 kwa kuonyesha upendeleo wa wazi kwa magamba maana namna anavyohoji wapinzani inaonyesha kabisa yuko 'biased' kitu ambacho siyo kizuri kwa mwandish/mtangazaji wa habari!
 
amekutuma uje umsifie huku?,huyu dada ni mpuuzi sana na alionyesha huo upuuzi wake kwenye taarifa za habari wakati wa kampeni mwaka 2010 kwa kuonyesha upendeleo wa wazi kwa magamba maana namna anavyohoji wapinzani inaonyesha kabisa yuko 'biased' kitu ambacho siyo kizuri kwa mwandish/mtangazaji wa habari!

sio kosa lake alikua anafuata maelekezo ya mwajiri wake mwisho wa mwezi alipwe.
Mbona siasa kila mahali jamani?
 
...Kwa wale wafuatiliaji wa taarifa za habari katika TV zetu mtakubaliana na mimi kuwa huyu mwanadada Grace Kingalame ni moto wa kuotea mbali anapokuwa studio,hasa akiwa na Joseph Msami....Sidhani kama kuna mtangazaji wa kike mwenye uwezo wa juu kama huyu.....

Unampenda tu, tukija kwenye watangazaji wazuri na wenye uzoefu akina Jane Shirima utawaweka wapi? At her level she is the best!
 
Siku hizi anapendeza kweli, naona anasuka lasta sio kama zamani.
 
Mie nina kitu tofauti kuhusu watangazaji wote wa TV zote Tz. Hivi ni desturi au sheria kuwa WANAUME watangazaji ndio wawe wao wanaongoza katika utangazaji na sio WANAWAKE??. Kila taarifa ya habari Mwanaume ndiye anajitia kuintroduce na kumuintroce Mwanamke mtangazaji. Hii inanikera sana. Wanawake wanauwezo mkubwa hata kuliko hao wanaume wanaojipeleka kimbelembele. Kwa mfano ............ Endelea kujaza orodha.

naona umesahau sheria ya MUNGU.
 
...Kwa wale wafuatiliaji wa taarifa za habari katika TV zetu mtakubaliana na mimi kuwa huyu mwanadada Grace Kingalame ni moto wa kuotea mbali anapokuwa studio,hasa akiwa na Joseph Msami....Sidhani kama kuna mtangazaji wa kike mwenye uwezo wa juu kama huyu.....
Hongera kwake
 
Back
Top Bottom