Grace Matata-Official Song Utanifaa

Free soul ni noma ule wimbo ni balaa.
Ushasikia nyakati za mashaka acha original version ya grace ule aliourudia nikki mbishi grace akaimba chorus
Yeah man
 
Huyu Dada ana kipaji haswa,ila kwasasa itam'bidi awe kwenye foleni ambayo inaongozwa na V.money.Jide n.k
 
Huyu Dada ana kipaji haswa,ila kwasasa itam'bidi awe kwenye foleni ambayo inaongozwa na V.money.Jide n.k
V money haingii hata nusu hapo
 
Grace matata anaimba soul v ni mshereheshaji tu kama mondi
Mi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????

Sema Matata ana, 1,2,3,4,5, kutokana na muziki wake sio blah blah.
 
Mi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????

Sema Matata ana, 1,2,3,4,5, kutokana na muziki wake sio blah blah.
Tatizo Unataka nikupe majibu uliyonayo
 
Tatizo Unataka nikupe majibu uliyonayo
Vya Matata sina,ila ninavyo vya V.money.

Ni msanii wakike Bongo anayepiga shoo nyingi sana nje ya Bongo.
" " nyimbo zake zinapigwa sana nje.
" " anatengeneza pesa nyingi kwasasa.
 
Kwani kutengeneza pesa ndio ukali?
 
Mi nilidhani ungeniletea ulinganisho wa MUDA WAO KWENYE MUZIKI + WALICHOFANIKIWA = ..... Kumbe wewe unaleta vigezo vya kulumbana......????

Sema Matata ana, 1,2,3,4,5, kutokana na muziki wake sio blah blah.
Hivyo ndio vigezo na vya mwanamziki mzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…