Grace usije tena gheto

Grace usije tena gheto

Lager

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
395
Reaction score
1,085
Kila tukikosana na nikataka tuachane basi unakuja gheto kuomba msamaha na mara zote msamaha nautoa bila hata kuongea chochote yani ukinipa tu na msamaha natoa!.

Kusema kweli Grace sijapenda tabia yako hii ya kumaliza makosa yako kwa njia ya kidikteta telezeshi! Visa vyako ni zaidi ya msamaha wako.

Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo Grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.

Kwako Grace muomba misamaha changamfu.

1619852694662.png
 
mbinu ya "Kidikteta Telezeshi" [emoji16][emoji16][emoji16]
Grace mnaweza kosana hata kwa yeye kutokutaka kuja gheto lakini ukimfokea ukataka kumuacha anakuja gheto na akija jua hamzungumzii makosa! Akishanipa anaondoka imefika hatua hata nimesahau kanikosea nini!

Kumuacha nataka lakini aina hii ya uombaji msamaha ndo imekuwa changamoto kumuepuka grace kila Nikisema mara hii hapati msamaha lkn akija gheto akaniwekea tu mkono kifuani basi ukuta wote niliyomuekea anauvunja😢😢

Grace usije tena gheto.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Umepoteza namba yake?
Au una uhakika yupo humu?
Kama unaogopa kumwambia ni PM namba yake nimkanye
 
Pale unapowageuza watu wote wanaosoma uzi wako kuwa akina Grace basi hapo ndipo unaanza ku fail..
 
Back
Top Bottom