Hapana chezea Gireukinipa tu na msamaha natoa!.
Grace mnaweza kosana hata kwa yeye kutokutaka kuja gheto lakini ukimfokea ukataka kumuacha anakuja gheto na akija jua hamzungumzii makosa! Akishanipa anaondoka imefika hatua hata nimesahau kanikosea nini!mbinu ya "Kidikteta Telezeshi" [emoji16][emoji16][emoji16]