mayounger
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 693
- 670
Ndiyo inawezekana kwamba hizo grades zilishapangwa kutumiwa na NECTA lakini majuzi wakati wa kutoa taarifa ya ile kamati Mh.Lukuvi alisema moja kati yamaamuzi yaliyofanywa ni kwa baraza la mitihani(NECTA) kupigwa marufuku kujipandishia grades bila kushirikisha wadau.Sasa ukiangalia pia na jinsi kashfa waliyoipata NECTA kwa haya matokeo ya kidato cha nne,kwa kweli hizo grades hazita tumika...
Nawasilisha
Nawasilisha