graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust viseversa kama ulikua C unahamia D auto


Shida yetu walimu huwa tunadanganyika kwa kauli yaani naweza kusema tuko kama mwananmke malaya! Habari ikikorogwa kutupumbaza basi tunajipamba kwa kila maneno......, tujaribuni kuwa wapembuzi na watafiti kama taaluma yetu inavyotuelekeza sio kuropokaropoka tu bila kuwa na vyanzo kamili!!!! SERIKALI YA CCM HAIWEZI MABADILIKO YA RAPID KAMA HAYA TUNAYOJIDANGANYA HUMU NDANI!!!! TUPAMBANE WALIMU WENZANGU
 
Leo ni siku ya wajinga? Mbona kama naota,engineer mwenyewe haanzii kiwango hicho cha 850,000 japo daraja ni E pia!!!!
 
walimu mkiamua mnaweza tatizo mnasalitiana na njaa za msimu
 


inawezekana kweli MWALIMU kama ni kweli dala dala zitaanza kufika Kigamboni na wala si FERI KIVUKONI????

"WORKERS OF THE WORLD YOU HAVE TO UNITE THERE IS NOTHING TO LOSS BUT YOUR OWN CHAIN" Karl Max
 
mbna ntajifunza uwalimu kama ndo hvyo
 
mbona hamuamini? acheni kujidharau kwamba eti 850000 ni kubwa sana, kwani nyie mnataka sh.ngapi? poor waalimu wa tz yaani mnajidharau hivyo? bankteller form four felia anavuta 1.2m wewe na degree yako .....
 
Jana nilimsikia katibu mkuu wa chama cha walimu kuwa kuna ujumbe unazunguka kuwadanganya walimu ili kutibua ari ya kuhamasisha mgomo... Nadhani ni kiini macho
 
Ikiwa hivyo ualimu itakuwa dili kuliko fani nyingi nchini.
 
nafananisha uwalimu kama chizi aliyeyashika mavi hafu akayanusa nakusema yananuka bora nilivyoyashika kuliko ningeyakanyaga...!
 
mbona hamuamini? acheni kujidharau kwamba eti 850000 ni kubwa sana, kwani nyie mnataka sh.ngapi? poor waalimu wa tz yaani mnajidharau hivyo? bankteller form four felia anavuta 1.2m wewe na degree yako .....

Acha uwongo bwana nani kakwambia bankteller analipwa 1.2m?
 
ikiwa hivyo serikari ijitahidi ipunguze bei za vitu mabo yawe poa
 

Endelea kuota hivyohivyo ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…