mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
TETESI KUTOKA KIKAO KATI YA BODI YA MISHAHARA YA SERIKALI NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZOTE NCHINI; madaraja ya walimu yamerekebishwa graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust viseversa kama
ulikua C unahamia D automaticaly na wa D anahamia E pia daraja kikomo H linasogezwa hadi J kama kada nyingine za utumishi.hongereni!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa kilio cha walimu kimesikilizwa.moja.madaraja kuongezw.pili.kima cha chini 350000/= kuanzia april 30.posho ya mazingira magumu.kubwa zaidi nyongeza ya mishahara kwa 50% chanzo cha habari CELINA
KOMBANI.wataarifu wadau wengine. kwa maelezo zaidi wasiliana na katibu CWT.
thankou
TETESI KUTOKA KIKAO KATI YA BODI YA MISHAHARA YA SERIKALI NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZOTE NCHINI; madaraja ya walimu yamerekebishwa graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust viseversa kama
ulikua C unahamia D automaticaly na wa D anahamia E pia daraja kikomo H linasogezwa hadi J kama kada nyingine za utumishi.hongereni!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa kilio cha walimu kimesikilizwa.moja.madaraja kuongezw.pili.kima cha chini 350000/= kuanzia april 30.posho ya mazingira magumu.kubwa zaidi nyongeza ya mishahara kwa 50% chanzo cha habari CELINA
KOMBANI.wataarifu wadau wengine. kwa maelezo zaidi wasiliana na katibu CWT.
thankou
mbona hamuamini? acheni kujidharau kwamba eti 850000 ni kubwa sana, kwani nyie mnataka sh.ngapi? poor waalimu wa tz yaani mnajidharau hivyo? bankteller form four felia anavuta 1.2m wewe na degree yako .....
TETESI KUTOKA KIKAO KATI YA BODI YA MISHAHARA YA SERIKALI NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZOTE NCHINI; madaraja ya walimu yamerekebishwa graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust viseversa kama
ulikua C unahamia D automaticaly na wa D anahamia E pia daraja kikomo H linasogezwa hadi J kama kada nyingine za utumishi.hongereni!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa kilio cha walimu kimesikilizwa.moja.madaraja kuongezw.pili.kima cha chini 350000/= kuanzia april 30.posho ya mazingira magumu.kubwa zaidi nyongeza ya mishahara kwa 50% chanzo cha habari CELINA
KOMBANI.wataarifu wadau wengine. kwa maelezo zaidi wasiliana na katibu CWT.
thankou
nafananisha uwalimu kama chizi aliyeyashika mavi hafu akayanusa nakusema yananuka bora nilivyoyashika kuliko ningeyakanyaga...!