albinomweusi
Member
- Jul 10, 2014
- 44
- 0
Hearsay evidence is not admissible as a general rule,tutafutie hiyo sheria tu na siku iloanza kutumika kwanza
Ni kwel mkuu coz kuna dogo hapa mtaani kwet amepangwa jkt oljoro arusha
Kwa dip na certificate ni kweli na majina yametoka . Mbona hata humu jf kuna uzi wenye majina hayo.
Hasa baadae ikifika kwa wenye Degree, itakuwa vipi maana tayari wahitimu wa kidato cha Sita wanapitia huko na wao ndio watakao kuwa wanachukua Degree mda huo.Je wataenda tena yaani mara ya pili?