huo muungano wangetuamia walifanyia wapi mkutano na ulihudhuriwa na na nani na walifikiaje hilo azimio la kuwambia waombe radhi kwa kutumia kipemhele kipi cha katiba tungejua wasomi wetu lakini sasa wamejidhalilisha sana wanaonekana wameingizwa kwenye propanganda zilipokuwepo kwenye nchi za ulaya mashariki na urusi nyakati za kikomunisti ,halafu wengi wanajua ni propaganda tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wasomi wameishiwa hata kabla hawajahitimu halafu tungeambiwa tamko la mwenyekiti au katibi wa huo muungano hapo wanafunzi wachache wamechakachuliwa ovyo kabisa wanafunzi wa aina hii kwenye nchi yetu hatutafika