Elections 2010 Graduate, Mtoto wa Fukara, Shabiki wa CCM

huo muungano wangetuamia walifanyia wapi mkutano na ulihudhuriwa na na nani na walifikiaje hilo azimio la kuwambia waombe radhi kwa kutumia kipemhele kipi cha katiba tungejua wasomi wetu lakini sasa wamejidhalilisha sana wanaonekana wameingizwa kwenye propanganda zilipokuwepo kwenye nchi za ulaya mashariki na urusi nyakati za kikomunisti ,halafu wengi wanajua ni propaganda tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wasomi wameishiwa hata kabla hawajahitimu halafu tungeambiwa tamko la mwenyekiti au katibi wa huo muungano hapo wanafunzi wachache wamechakachuliwa ovyo kabisa wanafunzi wa aina hii kwenye nchi yetu hatutafika
 
Not relevant
 
Big up Ngwanangwa yaani kama uikuwa kwenye mawazo, huo umati wa vijana wanaojiita wasomi kutoka chuo cha Kata Dodoma wamechoka inaonyesha ni watu from familia duni saana, badala ya kufikiria ukombozi wao wanashabikia siasa wasiozijua bila kujali hali ya kwao na wao hapo baadae, yangu macho and shame on them...
 
Yaani umesema kama vile kutoka moyoni kwangu. Hili jambo linaniudhi sana. Na mafisadi wanatumia vizuri sana hii weakness ya vijana. Sijui kwa nini hatujifunzi kwa vijana wenzetu kama Kenya!?
 
Mtoa maada katoa maelezo mazuri na yanayojitisheleza kabisa hivyo michango hasi kutoka kwa "wasomi"katika suala chanya kama hili inaonyesha jinsi gani usomi wetu usivyo na manufaa kwa jamii. Mleta maada anavyosema watoto wa mafisadi wakiwa "upanga"kwa akili za kawaida kabisa unatakiwa kujua anamaanisha wakiwa maeneo mazuri na si kuwa upanga wanakaa mafisadi tu.Hebu tuchukue muda kuielewa mada kabla ya kuchangia.
 
Wasomi!Wasomi!Ni maana ya usomi?Kuna msemo hapa bongo kuwa Mtu aliyesoma anaangalia maslahi lnk asiyesoma anapenda sifa.Lakn pamoja kuangalia maslahi,tuangalie hayo maslahi yawe kwa ajili ya nchi yetu na sio matumbo yetu.
 

Naomba tuchunguze wanaoenda UDOM wana IQ kiasi gani, then tujadili ubora wa elimu zinazotolewa(hapa tutagundua wasomi wetu wanataalumika badala ya kuelimika).
Pia nina shida na vyuo vyetu, they are too passive struggling to earn a degree through cheating or otherwise. Hapa tunahtaj elimu ya kukabili mazingira yanayotunguka. Huwezi amini haya yote yanatokea katika mazingira ya wasomi hao lakini wapo kimya au wengine wanatoa matamko ya kijuha... Wasomi walio vyuoni wana sehemu yao, wakicheza vyema tutafikisha nchi yetu pazuri.
Mniwie radhi kwa kuchanganya lugha
 
........ Graduate siyo mtu wa kumburuza na kumpeleka peleka. Labda awe mjinga mjinga
Yeah, right.
Unanikumbusha wale (sijui ndio wajinga wajinga unaowasema) waliokuwa wakibebwa na malori kama mifugo kwenye kampeni za CCM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…