makampuni yapo mengi hasa makampuni ya kimataifa..shida moja kwa wanafunzi wa kitanzania bado hawajandaliwa vyema kuingia kwenye ushindani katika soko la utandawazi kiajira..kama unavigezo na umebahatika kusoma katika nchi za ulimwengu wa kwanza inbox nikupe connection ukafanye..
mwana na mimi nina shida kama hiyo hiyo, naomba uni inbox