Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

Nimetumiwa barua ya kujiunga na chuo lkn sina passport .na passport nimenyimwa na Nina kila kitu yani cheti cha kuzaliwa,Nida. Inauma sana tena sana .na anaye nifanyia unyama huo yeye pia anatoka kigoma mmmh
 
Kupata documents Sio shida shida ni Hela angalau uwe na milioni 5 hivi ili ufike ulaya.
Sasa mtoto wa mkulima anapata wapi milion 5
 
Baada ya mzazi kushindwa kujieleza vizuri basi jamaa wa uhamiaji akaona ndo frusa ya kupata pesa akaniambia nimpe M1 kama sina niombe uraia .mm nikamwambia sina na nitaombajr uraia na wakati nimezaliwa hapa tz na documents zote nazo. BC jamaa ndo akachukua frusa hii kunikandamiza zaidi akapeleka paka kwa PCO documents zangu kwamba mm uraia haujakamilika.badae utasikia vijana hawachangamkii frusa wakati nchi ndo inakua ya kwanza kuwakatisha tamaa vijana.Leo unanifanyia hivi je kesho unajua mm nitakuwa nani? Ndo maana magu akawa na hasira sana sabab hapo mwanzo kuna watu walimfanyia unyama
 
Umepata chuo gani China, na kipo mji gani.
 
Kwani huyo PCO ndio final nchi hii mnakwama wapi mbona zipo mamlaka nyingi tu za kuripoti Kama ujatendewa haki
 
Hakuna mtu asiyepajua Ulaya kwamba ndio mahali pekee pakupata exposure ya maisha na elimu. Sasa unataka vijana waelezwe nini. Graduate anaweza ingia Ulaya kufanya kazi au kusoma elimu ya juu.
Vihehere vya wapigania Uhuru ndio vimewaletea shida ya maisha magumu waafrika tusingedai uhuru tungekuwa Dunia ya pili
 
Kuzaliwa bongo Sio tiketi ya kuwa raia labda Kama babu na bibi zako wote wamezaliwa bongo.
Wengi hawajui kimbembe huja wakienda omba passport uelewa wakishachelewa wakati hitaji la safari lipo mlangoni
 
Kupata pasport mbona easy tu. Shida kuingia huko south korea
 
Najua passport ni 150k lakini ndio usubiri mwezi mzima wengine huo muda huwa hatuna tunatumia manyoka 300k two days mzigo naletewa nakwea mwewe.
Mwezi mkoani labda Dar wiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…