Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

Sawa mkuu, mimi sio mmoja kati yenu mnaoamini katika miujiza. Mimi naamini katika mipango thabiti, ndipo hupatikana matokeo sahihi.
Kuna wenzangu walipata nafasi ya kuingia China, hawakuwa hata na senti, lakini tarehe ya safari ilipofika walipanda ndege hadi Dubai, wakaenda mpaka Shanghai kesho yake wakadamkia Beijing mpaka maisha yao yalishabadilika.
 
Mtoa mada umetoa wazo zuri lakini ulichokosea ni kufanya mjumuisho maana mambo ya safari ni passion sio kila mtu ni baharia/msafiri. Ninawajua watu waliopata chance za kwenda kusoma US na baada ya masomo wakarudi bongo and kuna waliotimka na mialiko ya uongo na kweli na mpaka leo hawajawahi kanyaga bongo. So sio kila mtu ni msafiri mzee.
 
Ni kufuata sheria tu passport ni laki na nusu, tuachane na njia za mkato.
Shida yako ni nini hiyo sheria si ufate mwenyewe...? Chamsingi upate passport mimi niko busy siwezi kuanza kutafuta mpaka birth certificate za wazazi wangu mara viapo mahakamani hujakaa sawa barua za watendaji mara dhumuni la kusafiri aisee huo muda sina ila kama unaomuda wa kuyafanya hayo wewe fanya tu.
 
Mtoa mada umetoa wazo zuri lakini ulichokosea ni kufanya mjumuisho maana mambo ya safari ni passion sio kila mtu ni baharia/msafiri. Ninawajua watu waliopata chance za kwenda kusoma US na baada ya masomo wakarudi bongo and kuna waliotimka na mialiko ya uongo na kweli na mpaka leo hawajawahi kanyaga bongo. So sio kila mtu ni msafiri mzee.
Mada kuu ni vijana wawe na passport maana huwezi jua muda wowote unaweza pata chance.
 
Shida yako ni nini hiyo sheria si ufate mwenyewe...? Chamsingi upate passport mimi niko busy siwezi kuanza kutafuta mpaka birth certificate za wazazi wangu mara viapo mahakamani hujakaa sawa barua za watendaji mara dhumuni la kusafiri aisee huo muda sina ila kama unaomuda wa kuyafanya hayo wewe fanya tu.
Lakini mkuu nimeandika graduates sijatag wewe. Anaweza kuwa ni graduate mwingine wala sio wewe. Wapo wanaohitaji ndio hao ambao hili bandiko linawalenga mkuu wala usiumize kichwa na hili jukwaa letu huru.
 
Halafu nilikuwa sijaangalia Jina lako
Kumbe hohehahe sasa nauli ya Santorini unapata wapi 😅😅😆
Endelea kuwatafsiri watu kwa Username zao za JF... unajua kwamba yupo Zayed Bakhresa humu?! Unajua Username yake?! 😃😃😃

Unajua yupo Ridhwaan JK humu?! Unajua Username yake?! Na watoto wa the late Mufuruki je?! Unajua username zao?! 😊😊😊

Keep judging books by-their covers 😊👍🏾
 
Endelea kuwatafsiri watu kwa Username zao za JF... unajua kwamba yupo Zayed Bakhresa humu?! Unajua Username yake?! 😃😃😃

Unajua yupo Ridhwaan JK humu?! Unajua Username yake?! Na watoto wa the late Mufuruki je?! Unajua username zao?! 😊😊😊

Keep judging books by-their covers 😊👍🏾
Sawa bakhresa nmejifunza 😇
 
Wabongo kwa kujipiga pini, sasa unataka kutafuta nauli na huna passport, unataka connection ya kwenda mbele na huna passport?

Tafuta kwanza passport alafu fursa ikija unaruka nayo, kuliko fursa ije ndo uanze kunifanya unakata passport haraka haraka.

Kuna wana walishawahi kosa safari za bure kabisa kisa hawana passport, wakaishia kupewa mitablet na simu.

Hapo ndipo nikapata akili ya kutafuta passport yangu mapema, na kweli, nikaanza kuona najiamini hata kutafuta connection za kwenda nje.

Fursa ikijitokeza naruka nayo kama spiderman.
 
Mchanganuo wa Nyaraka za zinazohitajika kwa anayetafuta Pasipoti ya Kusafiria Kwa Safari ya Ulaya na Kuweka Mipango ya Maisha.

Kabla ya kuanza safari yako ya Ulaya na kuanza hatua mpya ya maisha yako, unahitaji kuwa na nyaraka sahihi zinazohitajika wakati wa kuomba pasipoti ya kusafiria. Hizi ni nyaraka ambazo unaweza kuhitajika kuwasilisha ili kuhakikisha kuwa maombi yako ya pasipoti yanapokelewa. Nyaraka hizi ni kama ifuatavyo:

  1. Barua ya Uthibitisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kata/Mtaa kwa Mzazi/Mlezi Asiyeajiriwa: Barua hii inathibitisha uhusiano wako na mzazi/mlezi asiyeajiriwa na inaonyesha idhini yao kwa safari yako ya Ulaya. Inaweza kuhitajika kwa ajili ya kudhibitisha utambulisho wa familia yako.
  2. Barua ya Kujiunga na Shule/Chuo: Barua hii inaonyesha kuwa unakusudia kuendelea na elimu yako baada ya kuhitimu chuo. Inaonyesha nia yako ya kukuza elimu yako na inaweza kuwa na athari chanya katika maombi yako ya pasipoti.
  3. Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa cha Mzazi wa Mwombaji: Cheti au kiapo cha kuzaliwa cha mzazi wako kinaweza kutumika kudhibitisha uhusiano wa kifamilia na mzazi wako. Ni sehemu muhimu ya nyaraka za kuthibitisha utambulisho wako.
  4. Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa cha Mwombaji: Cheti au kiapo chako cha kuzaliwa kinathibitisha tarehe yako ya kuzaliwa na utambulisho wako binafsi. Ni nyaraka muhimu katika mchakato wa kuomba pasipoti.
  5. Kadi ya Mpiga Kura ya Mzazi/Mlezi: Kadi ya mpiga kura ya mzazi/mlezi inaweza kutumika kuthibitisha utambulisho wao na pia kuonyesha msaada wao kwa safari yako ya Ulaya.
  6. Barua ya Utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa/Afisa Mtendaji wa Kata: Barua hii inaonyesha utambulisho wako kutoka kwa mamlaka ya serikali ya mtaa au afisa mtendaji wa kata. Inaweza kuwa na athari nzuri katika kuthibitisha utambulisho wako.
  7. Kitambulisho cha Taifa cha Mzazi/Mlezi: Kitambulisho cha taifa cha mzazi/mlezi kinathibitisha utambulisho wao kama raia. Ni nyaraka muhimu kwa kudhibitisha uhusiano wa kifamilia.
  8. Vyeti vya Elimu (Shule/Chuo): Vyeti vya elimu vinavyothibitisha mafanikio yako ya kitaaluma katika shule au chuo. Vinaweza kuonyesha juhudi zako za kujifunza na uwezo wako wa kufikia malengo.
  9. Fomu ya Maombi ya Pasipoti: Fomu hii inayojazwa kwa usahihi na taarifa zote muhimu kuhusu maombi yako. Inapaswa kuwa kamili na sahihi ili kuhakikisha kuwa mchakato wako wa kuomba pasipoti unakwenda vizuri.
Ukiwa na nyaraka hizo, unaweza kuwa na uhakika kwamba maombi yako ya pasipoti ya kusafiria yatafanikiwa.

Hata usipo ingia Ulaya unaweza kuingia CHINA, US, SOUTH KOREA, INDIA kokote kapate exposure uje na ramani.

SAFARI NJEMA
Ni changamoto sana na unaweza kuwa na hivyo vyote na bado ukakosa .yani nchi hii hatari sana yani nimepewa ukimbizi wa kulazimishwa kisa mzazi hajajieleza vizuri.nimezaliwa hapa wazazi pia lkn nimekosa passport kisa wazazi kwao ni kigoma na tayari niliomba chuo China wamenikubaria na wameshanitumia barua lkn nimekosa passport nimeambiwa uraia wangu haujakamilika .ndugu zangu usiona kijana anatumia madawa ya kulevya,pombe sana au kuwa panya road au mhalifu au kuwa gaidi sikwamba anapenda ila ukweli nchi yetu inachangia sana vijana kuhalibika na kupoteza ndoto zao kwa mambo ya kibinafisi.inaniuma sana tena sana nchii hii imejaa rushwa ,ubinafisi .nimekosa passport kisa wazazi hawajui kujieleza vizuri na kila kitu ninacho
 
Back
Top Bottom