Graduated....


eebwana naomba nikupe general xstics za mabinti wa kichaga ila zina exceptions mmarangu wanamaringo sana na niwazuri sana wa sura na maumbo wengi ni weupe wamesoma ila wana maringo mabaya sana, wanaweza kuunderestimate utu wa mtu, dharau zao ni mbaya sana kwa mtu asiyekuwa wa kwao mdomo pia wamepewa wanaongea sana na wanapenda kazi soft kama mabenk mashirika makubwa na maisha ya juu sana.

wamachame hawa ni kubota chapa kazi, wamesoma, wanajua kufocus mbali wengi wao rangi ni maji ya kunde na wana maumbo ya mazuri ila miguu wamekosa. waekness yao kubwa ni wakali kwenye ujinga huwa hawapendi kabisa ujinga na hili huwafanya watu wawaone kama vile wauaji. but ukweli ukioa huyu utajiri chap chap.

warombo hawa kakweli ni wazuri sana kwa maumbo yaani ukitaka figure 8 hapa ndo kwao, ni wachapa kazi hawanaga uchaguzi wa kazi wao kazi zao nyingi ni manual ila niwatafutaji wa hela huwa hawaangalii aina ya kazi ama kisomo kwao hela matters. na ukweli jamani wachaga wenye akili kuliko wote za darasani ni waromb na uo ndo ukweli.

wauru hawa ni wachaga masharobaro wapo wachache na walisoma nje wengi lol na hawa wanatofautiana kidogo na wa old moshi ambao wao ni wapiga porojo na wapenda sifa.

wakibosho hawa jamani ni wakali ile mbaya ngumi mkononi lkn pia wafanyabiashara sana wengi wao shule hawako vizuri.

wakirua nao wao wanapenda kazi za manispaa tu hawapendi shida na shule kwao siyo ishu.

wasiha hawa wako kama wakirua na ni wanawake waropokaji mfano mzuri kaka yao Mwanri.

katika wote hao wachaga ambao ni wafanyakazi za bar ni warombo kisa hawachagui kazi. ambao ni mapepe ni wamarangu na wamachame hawa wanapenda sana kuwa na mabuzi.warombo wana weakness moja katika mapenzi kwamba wengi hawana true orgasm.

nawasilisha. nasubiri mipasho kwa mabinti wa kichaga manake leo nitakoga matusi.
 
hongera Paka Mweusi,

umesomea nini?



A,Aaaaaaaah sasa tunataka kuaibishana hapa,nimeshapokea hongera kibao na wewe unataka kujua nilichosomea ili ukikuta nilikuwa nasomea upishi unidharau vizuri.Anyway ni mambo ya business adminstration.
 
A,Aaaaaaaah sasa tunataka kuaibishana hapa,nimeshapokea hongera kibao na wewe unataka kujua nilichosomea ili ukikuta nilikuwa nasomea upishi unidharau vizuri.Anyway ni mambo ya business adminstration.

hongera mkuu,nimeuliza kwa sababu mie ndio naenda kuanza september,hivyo natafuta watu niwe nawapa assigment zangu,lol:spy:
 
Mwalimu asante sana kwa shule uliyonipa,hapo kuna kitu kikubwa sana nimejifunza na kuna kaharufu ka ukweli,maana niliwahi kuwa na mmrarangu mwishoni mwa miaka ya 90`s na jinsi ulivyoniambia mengi yanashabihiana ila sasa kwa mrombo naanza kuogopa,sasa kama hana true orgasm si nitakuwa kama ninamtesa mwenzangu anyway wacha tuwasubiri usiogope nipo kukutetea wakija na matusi yao.Ila mrombo wangu simuachi..
 
hongera mkuu,nimeuliza kwa sababu mie ndio naenda kuanza september,hivyo natafuta watu niwe nawapa assigment zangu,lol:spy:




Karibu sana nitajitahidi kwa uwezo wangu wote kama utakayoniuliza yatahusiana na masuala ya biashara,na nakutakia masomo mema hapo September..
 
Kaka Sikonge sijakuona hapa,njoo unipongeze huku tena ninakutafuta kaka nina idea nzuri tu ya kuokoa misitu yetu kwa kuintroduce bani za kuchomea tumbaku zinazotumia mionzi ya jua na si kama kuchoma kwa kuni ambavyo tumekuwa tukifanya miaka yote
 
Last edited by a moderator:
LD vibaya hivyo ndio kusema umekasirika,nitakuletea pipi basi jioni na aiskilimu..umesikia eeh..
 
Last edited by a moderator:
Reactions: LD
Kakunywesha nini huyu mtu? Hapo pa juu hapo...ni kwambaaaaa...Ukimaliza Ngosha unifunike halafu usisahau kuzima taa.
 

naona umetuchambua wachagga kama karanga LOL! Kumbe ndo tulivyo?!
 
Nakupongeza sana ingawa suala hili liko mahakamani!




Na katiba inasema kuwa suala likishafikishwa mahakamani haliwezi kujadiliwa na chombo kingine au mtu yeyote nje ya mahakama nkwingwa,wacha tusubiri uamuzi wa mahakama...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…