kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,631
Habarini wakuu, Nandika ujumbe huu kwa Vijana Graduates ambao walipata mafunzo ya kitaalamu ya namna ya kuendeshea biashara etc pia baadhi yao kupata either loans or grants kutoka mabenki, taasisi za serikali, mashirika ya kimataifa na taasisi zingine.
Nitoe Hongera kwa vijana walioweza kutumia fursa hizi vizuri na kufanikiwa kibiashara. Pia nasikitika kwa Vijana waliopata mitaji wakatumia kwa malengo ambayo hayakukusudiwa
Naandika ujumbe huu baada ya kufanya tathimini fupi/kidogo.
Mfano mwaka 2009 na 2012 kuna program ya shindano la mchanganuo wa biashara lilikuwa linaendeshwa na TPSF baadhi washindi pia walikuweno Vijana graduates waliofanikiwa kushinda na kupatiwa grants miongoni mwao kuna waliopata from 3 mill hadi 25. Wengi wao walishindwa kuanzisha biashara ingawa walikuwa na business plans nzuri.
Mfano wa pili ntakaoulezea ndio umenifanya kuandika hii thread.
Ni Vijana wa SUA waliopata fedha kupitia CRDB bank kwa ufadhili wa USAID, Tetesi ni kwamba baadhi ya Vijana waliopokea fedha kiasi cha mill 20 etc kwa ajili ya kuanzisha biashara baadhi yao walianzisha biashara na hadi sasa zimekufa kwa sababu zinazotokana na uzembe na kutokuwa serious, hali hii imepelekea benki kuwa discourage kwa kuendelea na progam hii.
Pia kuna program zingine ambazo nazifahamu ambazo graduates walipata funds hawakuanzisha biashara.
Wito wangu kwa vijana, ni kubadilika maana hali hii inapelekea graduates kutoaminika katika taasisi za kifedha na wahisani wengine.Pia mnaziba fursa kwa graduates wengine ambao wana nia ya kufanya biashara na wanabusiness plans nzuri.
Nitoe Hongera kwa vijana walioweza kutumia fursa hizi vizuri na kufanikiwa kibiashara. Pia nasikitika kwa Vijana waliopata mitaji wakatumia kwa malengo ambayo hayakukusudiwa
Naandika ujumbe huu baada ya kufanya tathimini fupi/kidogo.
Mfano mwaka 2009 na 2012 kuna program ya shindano la mchanganuo wa biashara lilikuwa linaendeshwa na TPSF baadhi washindi pia walikuweno Vijana graduates waliofanikiwa kushinda na kupatiwa grants miongoni mwao kuna waliopata from 3 mill hadi 25. Wengi wao walishindwa kuanzisha biashara ingawa walikuwa na business plans nzuri.
Mfano wa pili ntakaoulezea ndio umenifanya kuandika hii thread.
Ni Vijana wa SUA waliopata fedha kupitia CRDB bank kwa ufadhili wa USAID, Tetesi ni kwamba baadhi ya Vijana waliopokea fedha kiasi cha mill 20 etc kwa ajili ya kuanzisha biashara baadhi yao walianzisha biashara na hadi sasa zimekufa kwa sababu zinazotokana na uzembe na kutokuwa serious, hali hii imepelekea benki kuwa discourage kwa kuendelea na progam hii.
Pia kuna program zingine ambazo nazifahamu ambazo graduates walipata funds hawakuanzisha biashara.
Wito wangu kwa vijana, ni kubadilika maana hali hii inapelekea graduates kutoaminika katika taasisi za kifedha na wahisani wengine.Pia mnaziba fursa kwa graduates wengine ambao wana nia ya kufanya biashara na wanabusiness plans nzuri.