mlimbwende
Member
- Jul 15, 2011
- 74
- 26
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna lolote hapo,we sema ni 1st yr unataka kujua ubora wa hapo Ifm kiujanja.
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
Ifm graduatese are really good, mi sijasoma pale ila nafanya nao kazi, wanajua wanafanya nini, ltusipinge kila kitu, lets give them credit, they deserve it!