Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Hakuna kitu kibaya duniani kama kula kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teknolojia imeathiri vipi ajira tanzania wakati matumizi yetu ya teknolojia ni madogo sana ?
Hebu taja kada moja tu ambayo hapa nchini imeathiriwa na kuwepo kwa teknolojia hadi kupelekea ukosefu wa ajira?
Tanzania yenye population milioni 59 huku wasomi wakiwa below Milioni wakiwa hawazid hata milioni 3 unakuwaje na mass unemployment kubwa hivyo kwa graduates ?
Tuweni wakweli tu tatizo la ajira nchini ni zao la uongozi mbovu na siyo teknolojia wala mama yake teknolojia.
Kutumia a Worldwide problem theory kuzungumzia tatizo la ajira nchini siyo sahihi ni kielelezo cha kukosa maarifa tu kwa watawala wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mtaichagua CCM Tena??
Ushawahi kutoka nje ya Dar ????....Tatizo nje ya DSM mambo ya kuvamiana usiku na kucharazana mapanga yanatisha.
Ni kweli mkuu tunajaribu kutumia scapegoat ambayo siyo sahihi kwenye tatizo la ajira.Kuna comments/hoja huwa zinawatoka tu watu bila kufikiria (kama mtu anapopata mshtuko ghafla na kusema mamaaa..)
Kwa bongo teknolojia haijaatjiri ajira kama watu wanavyotaka tuamini
Tena ninaweza ku argue kwamba some how tech imeongeza ajira, angalia sekta ya usafirishaji, angalia sekta miundombinu, angalia sekta ya kilimo (tech imeleta large scale agr. more people involvement), tuangalie kwenye afya kabla ya tech kusambaa hakukuwa na hospitali binafsi au labs za vipimo (zote hizo ni ajira kwa watu), angalia sekta ya biashara (nipo mkoani napiga simu mtu anichukulie mzigo Kariakoo kisha anitumie, kisha nampa chake), zamani tulikuwa na ajira za ma bank teller huko bank, siku hizi mpaka mtu wa la saba ni Bank teller kupitia M-Pesa, Tigo Pesa n.k)mifano ipo mingi sana
Ni kweli mkuu tunajaribu kutumia scapegoat ambayo siyo sahihi kwenye tatizo la ajira.
Mimi hainingii akilini nchi yenye watu milioni 59 na wasomi wa vyuo vikuu ambao hawafiki hata 10% ya population nzima ikabiliwe na mass unemployment kiwango kikubwa namna hii kwa graduates.
Wanasiasa wakikosa majibu sahihi ya kwanini kuna mass unemployment tunakimbilia kusema kuwa ni tatizo la kidunia bila kuangalia mahitaji halisi na mazingira yetu kama hii hoja ina mashiko.
Kuhusu teknolojia sisi hatujafikia kwenye high tech ya kuweza kutusababishia unemployment, stage tuliyopo ni teknolojia kuzalisha ajira nyingi zaidi badala ya kupunguza ajira.
Hii world wide problem theory ni faulty kwa mazingira yetu sisi
Ndio Boss.Ushawahi kutoka nje ya Dar ????....
Basi kaa ukilaumu serikali ambayo haukusikii usitafute was kulaumu maisha ni yako boss hao wameshiba hata hawakufikiriiKama wanatakiwa kupambana tu, kuna haja gani kutumia kodi za wananchi kuwapa watu mikopoooo ya elimu ya juu ambayo mwisho wa siku elimu yao inabaki kwenye vyeti.
Nikweli mkuu ila changamoto hutofautiananimekaa mikoani kwa miaka kumi sasa
hata huku shughuli ni ngumu si rahisi kama watu wanavyofikiria
lakini dar bado fursa zipo kibao kwa kuwa kuna watu wengi ambao wanamahitaji mengi hivyo ukijitoa ufahamu kidogo tu utauza.