Graiyaki & Twiboke School ina ada kiasi gani?

Graiyaki & Twiboke School ina ada kiasi gani?

karamoko Dembele

New Member
Joined
Sep 4, 2023
Posts
3
Reaction score
3
Habarini za WAkati huu wakuu wangu Kuna Shule inaitwa GRAIYAKI SECONDARY SCHOOL IPO MUGUMU _SERENGETI MKOA wa MARA ni moja kati ya Shule nzuri sana kwa Olevel na primary ingia NECTA angalia matokeo yake utanielewa ni ONE NA A tyu matokeo yake ni nzuri kumpeleka mtoto wako sana sana

Maswali yangu NI JE ADA YAKE NI BEI GAN?

JE NI KWELI INAIBA MITIHANI?
 
Habarini za WAkati huu wakuu wangu Kuna Shule inaitwa GRAIYAKI SECONDARY SCHOOL IPO MUGUMU _SERENGETI MKOA wa MARA ni moja kati ya Shule nzuri sana kwa Olevel na primary ingia NECTA angalia matokeo yake utanielewa ni ONE NA A tyu matokeo yake ni nzuri kumpeleka mtoto wako sana sana

Maswali yangu NI JE ADA YAKE NI BEI GAN?

JE NI KWELI INAIBA MITIHANI?
KUIBA MITIHANI WAKO VIZURI SANA.
ICHUNGUZWE UMILIKI WAKE HUENDA MMILIKI YUKO WIZARANI. ULE MWAKA WALIOTOAGA T.O STD 7 kuna mwanangu mmoja alikuwa fundi hapo shule baadae akawa amemaliza kazi yake alinitonya namna alivyoshiri lkn pia na maelekezo kutoka juu kuelekea kwenye safu za chini.
 
KUIBA MITIHANI WAKO VIZURI SANA.
ICHUNGUZWE UMILIKI WAKE HUENDA MMILIKI YUKO WIZARANI. ULE MWAKA WALIOTOAGA T.O STD 7 kuna mwanangu mmoja alikuwa fundi hapo shule baadae akawa amemaliza kazi yake alinitonya namna alivyoshiri lkn pia na maelekezo kutoka juu kuelekea kwenye safu za chini.
Aisee
 
Back
Top Bottom