Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
GRAMOPHONE YA MWALIMU SUBETI SALUM
Mwalimu Subeti Salum Subeti
(1903 - 1974)
Mwalimu Subeti alikuwa mwalimu wa shule Kitchwele akifundisha useremala na pia alikuwa mmoja katika wapiga fidla (violin) maarufu wa Egyptian katika miaka ya 1940.n
Leo mwanae Hassan ambae ni rafiki yangu alikuja nyumbani kwangu mchana na zawadi adhim sana.
Hassan amenipa zawadi gramaphone ambayo marehemu baba yake alikuwa akiitumia kusikiliza muziki wa nyakati zile katika miaka ya 1940 hadi 50 kabla gramophone na santuri zake hazijatoweka kutokana na mabadiliko makubwa yalikuja katika vyombo vya muziki.
Hii granophone alikuwa ameihifadhiwa stoo kwa miaka mingi sana.
Gramopho zilizopo zinatumiwa kama pambo kupendezesha mandhari na zaidi utazikuta katika mahoteli makubwa ya kitalii.
Mwalimu Subeti Salum Subeti
(1903 - 1974)
Leo mwanae Hassan ambae ni rafiki yangu alikuja nyumbani kwangu mchana na zawadi adhim sana.
Hassan amenipa zawadi gramaphone ambayo marehemu baba yake alikuwa akiitumia kusikiliza muziki wa nyakati zile katika miaka ya 1940 hadi 50 kabla gramophone na santuri zake hazijatoweka kutokana na mabadiliko makubwa yalikuja katika vyombo vya muziki.
Hii granophone alikuwa ameihifadhiwa stoo kwa miaka mingi sana.
Gramopho zilizopo zinatumiwa kama pambo kupendezesha mandhari na zaidi utazikuta katika mahoteli makubwa ya kitalii.